Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umewahi kujiuliza kwanini album za Adele, ‘19’, ‘21’ na ‘25’ zina majina ya namba? Ifahamu sababu

Adele 25

Adele Laurie Blue Adkins, anayefahamika zaidi kwa jina lake la kwanza ni muimbaji kutoka Uingereza ambaye ameshatoa album tatu mpaka sasa.

Adele 25

Kuna kitu kimoja ambacho binafsi nilijiuliza na kuamua kufuatilia, kuhusu majina yake ya album zake zote tatu kuwa namba. Album ya kwanza aliita ’19’, iliyofata inaitwa ’21’, na hii mpya ya mwaka huu inaitwa ’25’, hizi namba zina maana gani?

Jibu ni kwamba namba ambazo Adele amekuwa akizitumia kama majina ya album zake ni umri wake.

Adele-19

Wakati anaanza...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Why Adele isn’t streaming her new album ‘25’

600

By restricting her new album 25 from streaming services Apple Music and Spotify, Adele is playing to her greatest strength: wide appeal.

600

The British singer is the rare artist whose allure spans demographic groups, from teenagers on YouTube and Spotify to adults who visit record stores or frequent iTunes. Music executives liken her to a four-quadrant movie, the lingo for blockbusters like The Avengers and Jurassic World that draw in young and old, men and women.

Adele and Sony Corp’s music...

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.

Adele 25

Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.

Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza

600

Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.

600

Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.

25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.

Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele, 25 yavuja siku moja kabla ya kuachiwa rasmi

Adele-Vogue--e1445253839377

“Hello,” good news! album ya Adele iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imevuja yote mtandaoni Jumatano hii ikiwa imebaki siku moja tu itoke rasmi, Ijumaa hii.

Adele-Vogue--e1445253839377

Mashabiki wengi wa muimbaji huyo mwenye miaka 27 wameoneshwa kufurahishwa kuipata albamu hiyo mapema. Hata hivyo wapo wanaodai wataisubiri wapate nakala halisi kwa kununua.

Wimbo wa kwanza kutoka kwenye album hiyo ni Hello uliopata mafanikio makubwa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Adele aachia single mpya ‘Hello’ na tracklist ya album yake ijayo ‘25’

Mwimbaji wa Uingereza, Adele amerejea na wimbo mpya, video mpya pamoja na album mpya anayotarajia kuitoa mwezi ujao. ‘Hello’ ndio single yake ya kwanza aliyoiachia kutoka kwenye album yake mpya. Album hiyo iitwayo ‘25’ itatoka November 20. Track list to Adele’s ‘25’: 1. Hello 2. Send My Love (To Your New Lover) 3. I Miss […]

 

9 years ago

Bongo5

Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika

Facebook kwa mara ya kwanza barani Afrika wamefungua ofisi ili kuweza kuongeza ufanisi kibiashara na kwa wateja wao barani Afrika ukianzia nchini Afrika ya Kusini. Facebook ikiwa imemteua msimamizi wa bara la Afrika, Nunu Ntshingila, ofisi hiyo ikiwa Melrose Arch, Johannesburg. Watu karibu ya milioni 7.1 wanatumia mtandao wa Facebook nchini Nigeria zaidi ya Afrika […]

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza

adele-new-album

Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.

adele-new-album

Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.

Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

9 years ago

MillardAyo

Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine!

Adele ndiye staa wa muziki anayefunga mwaka wa 2015 kwenye headlines za burudani Marekani na dunia nzima akiwa ameuza zaidi ya nakala milion 5 za single yake mpya ‘Hello’ huku video yake ikiwa imegusa watazamaji milion 700 kwenye mtandao wa YouTUBE! Ujio mpya wa Adele kwenye kurasa za burudani umepokelewa kwa muamko mkubwa sana duniani. […]

The post Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani