Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
Facebook kwa mara ya kwanza barani Afrika wamefungua ofisi ili kuweza kuongeza ufanisi kibiashara na kwa wateja wao barani Afrika ukianzia nchini Afrika ya Kusini. Facebook ikiwa imemteua msimamizi wa bara la Afrika, Nunu Ntshingila, ofisi hiyo ikiwa Melrose Arch, Johannesburg. Watu karibu ya milioni 7.1 wanatumia mtandao wa Facebook nchini Nigeria zaidi ya Afrika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Aug
Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Facebook yafungua Ofisi Afrika kusini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s72-c/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
FACEBOOK YAFUNGUA OFISI AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s640/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
Mwanadada Nunu Ntshingila ndiye atakae ongoza ofisi hiyo itakayo jikita katika kutafuta njia mbali mbali za kuongeza ushirikiano na wafanya biashara wa barani humo.
Tayari watumiaji wa facebook barani Afrika ni milioni 120, ofisi hiyo mpya inalenga kuongeza idadi ya watumiaji wake nchini Kenya, Nigeria na Afrika Kusini.
Nunu Ntshingila ndiye mkurugenzi mkuu wa ofisi hiyo...
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Facebook kufungua huduma mpya
9 years ago
Bongo527 Nov
Umewahi kujiuliza kwanini album za Adele, ‘19’, ‘21’ na ‘25’ zina majina ya namba? Ifahamu sababu
![Adele 25](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-25-300x194.jpg)
Adele Laurie Blue Adkins, anayefahamika zaidi kwa jina lake la kwanza ni muimbaji kutoka Uingereza ambaye ameshatoa album tatu mpaka sasa.
Kuna kitu kimoja ambacho binafsi nilijiuliza na kuamua kufuatilia, kuhusu majina yake ya album zake zote tatu kuwa namba. Album ya kwanza aliita ’19’, iliyofata inaitwa ’21’, na hii mpya ya mwaka huu inaitwa ’25’, hizi namba zina maana gani?
Jibu ni kwamba namba ambazo Adele amekuwa akizitumia kama majina ya album zake ni umri wake.
Wakati anaanza...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Baraza Ewura kufungua ofisi mikoani
BARAZA la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (Ewura CCC) limesema mwaka huu wa fedha linatarajia kufungua ofisi katika ngazi ya mikoa ili huduma zake ziwafikie watumiaji wa huduma...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zanzibar kufungua ofisi ya utalii India
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ci0LslOtrSU/VNSTT8ukzEI/AAAAAAACzeQ/kKHbJs9biGU/s72-c/unnamed.jpg)
TFDA kufungua ofisi kanda ya kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ci0LslOtrSU/VNSTT8ukzEI/AAAAAAACzeQ/kKHbJs9biGU/s1600/unnamed.jpg)