Facebook yafungua Ofisi Afrika kusini
Kwa mara ya kwanza Facebook imefungua ofisi yake barani Afrika, Johannesburg nchini Afrika kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s72-c/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
FACEBOOK YAFUNGUA OFISI AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s640/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
Mwanadada Nunu Ntshingila ndiye atakae ongoza ofisi hiyo itakayo jikita katika kutafuta njia mbali mbali za kuongeza ushirikiano na wafanya biashara wa barani humo.
Tayari watumiaji wa facebook barani Afrika ni milioni 120, ofisi hiyo mpya inalenga kuongeza idadi ya watumiaji wake nchini Kenya, Nigeria na Afrika Kusini.
Nunu Ntshingila ndiye mkurugenzi mkuu wa ofisi hiyo...
9 years ago
Bongo513 Sep
Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Facebook yafungua tena kipengele cha usalama
11 years ago
Habarileo23 Jun
NACTE yafungua ofisi tano za kanda
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ( NACTE), imefungua ofisi tano za kanda, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara ya kuwekeza katika eneo la usimamizi wa sekta ya elimu nchini kuongeza ufanisi na kufikia Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
11 years ago
Habarileo13 Aug
BBC yafungua ofisi Dar es Salaam
SHIRIKA la Utangazaji la Uingereza, kupitia Idhaa ya Kiswahili imefungua ofisi zake hapa nchini zitakazotumika kuendesha shughuli zake mbalimbali kikiwemo kipindi cha Amka na BBC pamoja na kuendesha tovuti ya BBC Swahili.
10 years ago
Bongo529 Aug
Clouds Media International yafungua ofisi Jamaica
11 years ago
Mwananchi11 Aug
BBC Swahili yafungua ofisi za kisasa nchini
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
10 years ago
MichuziKampuni ya Drive Dentsu yafungua ofisi zake Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Drive Dentsu, Mr Cheriff Tabet (katikati)akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofisi yao Dar es Salaam. Kulia kwake ni Meneja Uendelezaji wa Biashara na Masoko Mapya, Rami El Khalil, na kushoto ni Meneja Mkuu wa Drive Dentsu Tanzania,...