Kampuni ya Drive Dentsu yafungua ofisi zake Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Drive Dentsu, Mr Cheriff Tabet (kushoto)akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofisi yao Dar es Salaam. Kulia kwake ni Meneja Uendelezaji wa Biashara na Masoko Mapya, Rami El Khalil.
Mkurugenzi Mkuu wa Drive Dentsu, Mr Cheriff Tabet (katikati)akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofisi yao Dar es Salaam. Kulia kwake ni Meneja Uendelezaji wa Biashara na Masoko Mapya, Rami El Khalil, na kushoto ni Meneja Mkuu wa Drive Dentsu Tanzania,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Drive Dentsu yatua Dar
KAMPUNI ya Drive Dentsu inayojihusisha na masuala ya utengenezaji wa matangazo, imefungua ofisi zake mpya jijini Dar es Salaam ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma zake kwa wateja wake katika...
11 years ago
Habarileo13 Aug
BBC yafungua ofisi Dar es Salaam
SHIRIKA la Utangazaji la Uingereza, kupitia Idhaa ya Kiswahili imefungua ofisi zake hapa nchini zitakazotumika kuendesha shughuli zake mbalimbali kikiwemo kipindi cha Amka na BBC pamoja na kuendesha tovuti ya BBC Swahili.
11 years ago
MichuziKampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
BBC yazindua ofisi mpya Dar es Salaam
11 years ago
Habarileo23 Jun
NACTE yafungua ofisi tano za kanda
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ( NACTE), imefungua ofisi tano za kanda, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara ya kuwekeza katika eneo la usimamizi wa sekta ya elimu nchini kuongeza ufanisi na kufikia Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
10 years ago
Michuzi
FACEBOOK YAFUNGUA OFISI AFRIKA KUSINI

Mwanadada Nunu Ntshingila ndiye atakae ongoza ofisi hiyo itakayo jikita katika kutafuta njia mbali mbali za kuongeza ushirikiano na wafanya biashara wa barani humo.
Tayari watumiaji wa facebook barani Afrika ni milioni 120, ofisi hiyo mpya inalenga kuongeza idadi ya watumiaji wake nchini Kenya, Nigeria na Afrika Kusini.
Nunu Ntshingila ndiye mkurugenzi mkuu wa ofisi hiyo...
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Facebook yafungua Ofisi Afrika kusini
11 years ago
Mwananchi11 Aug
BBC Swahili yafungua ofisi za kisasa nchini