Drive Dentsu yatua Dar
KAMPUNI ya Drive Dentsu inayojihusisha na masuala ya utengenezaji wa matangazo, imefungua ofisi zake mpya jijini Dar es Salaam ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma zake kwa wateja wake katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKampuni ya Drive Dentsu yafungua ofisi zake Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Drive Dentsu, Mr Cheriff Tabet (katikati)akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofisi yao Dar es Salaam. Kulia kwake ni Meneja Uendelezaji wa Biashara na Masoko Mapya, Rami El Khalil, na kushoto ni Meneja Mkuu wa Drive Dentsu Tanzania,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVcr7FqTDe9NFmSlJqmffeyY22I0Y6HnmanmsTbtUAbBT1DTkmxeJhpUGBdg201oZLyOnk3E3mYIH2XsCGFpwJGh/1654402_252029988292351_1987865869_n.jpg?width=650)
YANGA YATUA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-FAZo7bFhEzM/Vf6bOlMoF3I/AAAAAAAH6RY/QW-m2SvTCLM/s750/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
MABASI 138 YA BRT YATUA DAR
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s72-c/unnamed1.jpg)
ndege nyingine ya atc yatua dar es salaam, kuanza kazi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bX92PpgbVI/UxnBgGsMjkI/AAAAAAAFRvM/k6L5IkF5Eeo/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
TheCitizen12 Jul
Dar drive against poaching praised
10 years ago
TheCitizen27 May
How China will drive Dar’s plan for industrialisation
10 years ago
TheCitizen28 Dec
Wildlife conservation foundation lauds Dar’s anti-poaching drive
9 years ago
Mtanzania07 Dec
TRA yatua Bakwata
*Wadaiwa kuingiza magari 82 kwa misamaha ya kodi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RUNGU la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limeonekana kushika kasi na safari hii limeangukia kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Kwa mujibu wa barua ya TRA, Bakwata imetakiwa kutoa maelezo ya ongezeko la maombi ya msamaha wa kodi katika utoaji wa magari yanayopitishwa katika taasisi hiyo ya dini, kutoka nje ya nchi.
Hayo yamo katika barua ya TRA ya Novemba 19, mwaka huu kwenda kwa Katibu Mkuu wa...