Facebook yafungua tena kipengele cha usalama
Mtandao wa facebook umefungua tena kipengele chake cha usalama kufuatia mlipuko m'baya wa bomu lililowauawa takriban watu 32 kaskazini mashariki mwa mji wa Yola nchini Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s72-c/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
FACEBOOK YAFUNGUA OFISI AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xxoJgRm2-44/VZJQUT5TVSI/AAAAAAAHl0s/yjZApozgoWc/s640/150629174553_facebook_640x360_afp_nocredit.jpg)
Mwanadada Nunu Ntshingila ndiye atakae ongoza ofisi hiyo itakayo jikita katika kutafuta njia mbali mbali za kuongeza ushirikiano na wafanya biashara wa barani humo.
Tayari watumiaji wa facebook barani Afrika ni milioni 120, ofisi hiyo mpya inalenga kuongeza idadi ya watumiaji wake nchini Kenya, Nigeria na Afrika Kusini.
Nunu Ntshingila ndiye mkurugenzi mkuu wa ofisi hiyo...
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Facebook yafungua Ofisi Afrika kusini
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Somalia yafungua tena ubalozi Marekani
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
TGNP wapinga Rasimu kutoweka kipengele cha kumwajibisha Rais
Katibu wa Kamati ya uchambuzi wa rasimu hiyo, Esther William (katikati) akisoma tamko la Wanaharakati wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao kwa waandishi wa habari jana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Badi Darusi na Hamadi Masudi Mjumbe (kushoto).
Na Mwandishi wetu
WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), linaloratibiwa na mtandao wa kijinsia...
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani
Naibu Kamishna wa Polisi na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01411.jpg)
FACEBOOK KUTUMIKA KUFUNZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
Michuzi26 Aug
Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook
![website Design & Hosting in Tanzania](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/cXbCNeuYdMBMxtDjp1OFkwtRRx8zLngnN9BaN8F9Ew0z3T2FhlSohetq1AeTTfn4xt5KTVhU_1bX6Qdooeezjl3gLOJ4MAQF9Vr0CmY4TQ=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/images/Facebook-security-question.jpg)
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards
9 years ago
Bongo506 Nov
Washindi wa tuzo za MOBO 2015 watangazwa, Si Davido wala Wizkid aliyeshinda kipengele cha Afrika
![Mobo awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mobo-awards-300x194.png)
Tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) zimetolewa Jumatano ya Novemba 4 huko Leeds, Uingereza.
Fuse ODG
Wasanii wa Afrika walikuwa wakishindana kwenye kipengele kimoja tu cha ‘Best African Act’ ambapo msanii aliyeibuka kidedea kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG.
Fuse ODG amewashinda Wizkid, Davido, Patoranking, AKA, Yemi Alade, Moelogo, Mista Silva, Shatta Wale na Silvastone ambao walikuwa wakiwania kipengele hicho. Hakukuwa na msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki aliyeingia kwenye...