Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook
Siku hizi ni kitu cha kawaida kuona vitu vya ajabu vikitumwa tokea akaunti ya mtu unayemuamini sana na haukutegemea kama mtu kama yeye angeweza kutuma (post) vitu kama hivyo, na ikakufanya hata utake kujitoa (Unlike / Unfriend) toka kwenye urafiki au ufuatiliaji kwake. Je unadhani ni kweli kila kitu kinachotumwa kwenye Facebook hutumwa na na muhusika? Jibu ni hapana. Mara nyingi ni wavamizi walioingia kwenye akaunti ya muhusika na kuitumia kadri wawezavyo ama kwakuwa umeruhusu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s72-c/Jerry-Silaa.jpg)
TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER
![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s1600/Jerry-Silaa.jpg)
9 years ago
Michuzi22 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s72-c/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
news alert: hackers waiba akaunti ya facebook ya meya wa ilala Mstahiki Jerry Silaa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s1600/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa. Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Asanteni sana - Jerry Silaa
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Uganda:Majeshi Afrika kuimarisha usalama
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani
Naibu Kamishna wa Polisi na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rCMoqhROwWU/VU2qeX4Ik9I/AAAAAAAHWU8/nFwLRYVCbRA/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
JK atumaini kuvumbua jinsi ya kuimarisha utayari wa jamii dhidi ya majanga ya afya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rCMoqhROwWU/VU2qeX4Ik9I/AAAAAAAHWU8/nFwLRYVCbRA/s640/unnamed%2B(87).jpg)
11 years ago
MichuziPolisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...
9 years ago
StarTV18 Sep
Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia
Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.
Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Facebook yafungua tena kipengele cha usalama