JK atumaini kuvumbua jinsi ya kuimarisha utayari wa jamii dhidi ya majanga ya afya.
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Priscilla Lecomte wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha: UN/JosephMsami)Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Mataifa la kusaka jinsi dunia inaweza kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa siku za usoni, amesema leo kwamba anatarajia kutoa mapendekezo juu ya mapugunfu yaliyoonekana wakati wa kupambana na Ebola.Akihojiwa na Priscilla Lecomte na Jospeh Msami wa idhaa hii, ameeleza kwamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE ATUMAINI KUVUMBUA JINSI YA KUIMARISHA UTAYARI WA JAMII DHIDI YA MAJANGA YA AFYA.
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Priscilla Lecomte wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha: UN/JosephMsami)
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Mataifa la kusaka jinsi dunia inaweza kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa siku za usoni, amesema leo kwamba anatarajia kutoa mapendekezo juu ya mapugunfu yaliyoonekana wakati wa kupambana na Ebola.Akihojiwa na Priscilla Lecomte na Jospeh Msami wa idhaa hii, ameeleza kwamba...
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje
9 years ago
MichuziSERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII (TPHA) CHATOA ELIMU DHIDI YA KUPAMBANA NA TUMBAKU KWA VIJANA WADOGO DAR
Na Andrew Chale, modewjiblog [Dar es Salaam]
CHAMA cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku pamoja...
10 years ago
MichuziWaziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid akishiriki mkutano wa mapambano dhidi ya UKIMWI,Malaria na TB Marekani
10 years ago
VijimamboKESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG
5 years ago
MichuziWAGANGA WAKUU WATAKIWA KUKAGUA UTAYARI WA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima akiwa katika moja ya chumba kilicho andaliwa kwa ajili ya kutolea kuhuduma kwa wagonjwa wa COVID-19 (CORONA) katika halmashauri ya Ikungi mkoani Singida.Baadhi ya Watumishi kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakikagua dawa zilizoandaliwa katika kituo cha Ilongero cha kuhudumia wa wagonjwa wa ...
10 years ago
Michuzi26 Aug
Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook
11 years ago
GPLWABUNGE; MKIZIPUUZA HUDUMA ZA JAMII NI MAJANGA