Uganda:Majeshi Afrika kuimarisha usalama
Mazoezi ya Kijeshi nchini Uganda yashirikisha nchi tano yana kauli mbiu isemayo MALIZA UGAIDI
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
9 years ago
StarTV21 Dec
Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani
Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama
Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.
Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake
10 years ago
Michuzi26 Aug
Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook
![website Design & Hosting in Tanzania](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/cXbCNeuYdMBMxtDjp1OFkwtRRx8zLngnN9BaN8F9Ew0z3T2FhlSohetq1AeTTfn4xt5KTVhU_1bX6Qdooeezjl3gLOJ4MAQF9Vr0CmY4TQ=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/images/Facebook-security-question.jpg)
11 years ago
MichuziPolisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...
9 years ago
StarTV18 Sep
Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia
Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.
Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Rais Kikwete aagwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini mapema leo jijini Dar es Salaam
Picha ya juu na chini: Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
…Naaga!!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wg5Q0hfgjqk/XsgGVH73DwI/AAAAAAALrUc/X2TlJzwW7qMaSXOndhTx83pqKfMFBUUQgCLcBGAsYHQ/s72-c/96343759-612b-47d2-9b03-f0388d5a91a4.jpg)
SERIKALI YAJA NA MIKAKATI MINNE YA KUIMARISHA USALAMA KATIKA USAFIRI WA MAJINI
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imefanya Uboreshaji wa Sheria na Mamlaka ya Udhibiti ya Usafiri Majini, Kuboresha shughuli za uokoaji, Miundombinu ya Bandari na Uboreshaji wa Mafunzo na Utoaji vyeti vya Mabaharia ikiwa ni hatua muhimu za kuimarisha usalama wa usafiri majini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe jijini Dodoma wakati akieleza mikakati iliyochukuliwa na Serikali katika kuimarisha usalama wa usafiri majini nchini ikiwa ni miaka 24...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIEdaUaNA-k/XvTcwRkkY-I/AAAAAAALvfQ/dtXZqQxDUwALIWw4qCZJlM9bVUi-52degCLcBGAsYHQ/s72-c/932d26b0-e06a-4d21-87c2-9e1973da8bec.jpg)
DC ayataka makampuni mafuta na gesi kuimarisha mifumo ya usalama na afya kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIEdaUaNA-k/XvTcwRkkY-I/AAAAAAALvfQ/dtXZqQxDUwALIWw4qCZJlM9bVUi-52degCLcBGAsYHQ/s640/932d26b0-e06a-4d21-87c2-9e1973da8bec.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2b1e6908-7b34-4c9f-a590-95a81e9806aa.jpg)
Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA Bi Khadija Mwenda akiongea kwenye Kikao na wadau wa mafuta na gesi, kwenye kikao cha Kujadiliana masuala ya utekelezaji wa masula ya usalama na Afya kwenye sekta hiyo, kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...