Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda:Majeshi Afrika kuimarisha usalama

Mazoezi ya Kijeshi nchini Uganda yashirikisha nchi tano yana kauli mbiu isemayo MALIZA UGAIDI

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR

Vijana wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa ufunguzi wa mkutano huo kulia Ali Hamad Suleiman na Rukaiya Rashid Kombo. uliofanyika katika ukumbi wac hoteli ya Zanzibar Beach Resorty Mazizini Zanzibar na kufunguliwa na Balozi Ali Ali Iddi kwa niaba ra Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Viongozi wa meza kuu wakisimama wakati wa kuimbwa kwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa mkutano huo uliowashirikisha Marais Wastaafu, Viongozi wa Dini na Vijana...

 

9 years ago

StarTV

Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani

Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama

Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.

Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake

Sudan Kusini inasema kuwa majeshi ya Uganda yaliyoko Jonglei yameanza kuondoka nchini humo

 

10 years ago

Michuzi

Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook

website Design & Hosting in TanzaniaSiku hizi ni kitu cha kawaida kuona vitu vya ajabu vikitumwa tokea akaunti ya mtu unayemuamini sana na haukutegemea kama mtu kama yeye angeweza kutuma (post) vitu kama hivyo, na ikakufanya hata utake kujitoa (Unlike / Unfriend) toka kwenye urafiki au ufuatiliaji kwake. Je unadhani ni kweli kila kitu kinachotumwa kwenye Facebook hutumwa na na muhusika? Jibu ni hapana. Mara nyingi ni wavamizi walioingia kwenye akaunti ya muhusika na kuitumia kadri wawezavyo ama kwakuwa umeruhusu...

 

11 years ago

Michuzi

Polisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akimpongeza mmoja wa askari wa bandari ya Dar es Salaam, Cornel Kufahaidhuru katika hafla fupi ya kuwazawadia askari 18 wa mamlaka ya bandari Tanzania (TPA) kwa kazi nzuri ya kuimarisha ulinzi katika bandari hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...

 

9 years ago

StarTV

Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo  mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.

Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aagwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini mapema leo jijini Dar es Salaam

1 (1)

Picha ya juu na chini: Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi  na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

2 (1)

…Naaga!!

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAJA NA MIKAKATI MINNE YA KUIMARISHA USALAMA KATIKA USAFIRI WA MAJINI


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imefanya Uboreshaji wa Sheria na Mamlaka ya Udhibiti ya Usafiri Majini, Kuboresha shughuli za uokoaji, Miundombinu ya Bandari na Uboreshaji wa Mafunzo na Utoaji vyeti vya Mabaharia ikiwa ni hatua muhimu za kuimarisha usalama wa usafiri majini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe jijini Dodoma wakati akieleza mikakati iliyochukuliwa na Serikali katika kuimarisha usalama wa usafiri majini nchini ikiwa ni miaka 24...

 

5 years ago

Michuzi

DC ayataka makampuni mafuta na gesi kuimarisha mifumo ya usalama na afya kazini

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi. Sarah Msafiri akiongea na wadau wa Mafuta na gesi (ambao hawapo pichani), Kikao kilichofanyika Ofisi za Mkuu wa Wilaya Kigamboni kwaajili ya kujadiliana masuala ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wanyafanyakazi wa sekta hiyo.

Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA Bi Khadija Mwenda akiongea kwenye Kikao na wadau wa mafuta na gesi, kwenye kikao cha Kujadiliana masuala ya utekelezaji wa masula ya usalama na Afya kwenye sekta hiyo, kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani