Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani

Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama

Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.

Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA

Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika(MISATAN) Bwana Andrew Marawiti  akizungumza jambo wakati akifungua kongamano na maafisa habari wa taasisi za serikali zilizofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.

Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Fedha yakutana na uongozi wa MCC kujadili utekelezaji awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania

Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania. Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.

DSCI0166

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.

DSCI0167

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na...

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri

1

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akitoa salaam za pongezi kwa wananchi wa kijiji cha Kilangala B kata ya Kilangala  kwa kuipa ushindi CCM kwenye uchaguzi serikaliza mitaa uliofanyika desemba 2014, Katika mkutano huo Nape aliwaeleza wananchi hao CCM ndio chama pekee kinachotoa majibu kwa matatizo ya wananchi.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti  aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yakutana kujadili adhabu ya Spika

Homa ya Uchaguzi Mkuu imeifanya Chadema kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kujadili mambo ya kitaifa, ikiwamo adhabu waliyopewa wabunge wa Ukawa kabla ya kutoa tamko.

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA TANZANIA YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI (JUDICIAR MEDIA FORUM) KUJADILI JUU YA MISINGI BORA YA UPASHANAJI HABARI KATIKA UTENDAJI BAINA YA TAASISI HIZO MBILI

 Mhe. Jaji Mstaafu Thomas MIHAYO, Rais wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) akitoa neno katika Mkutano Kati ya Mahakama na Vyombo vya Habari, 'Judiciary Media Forum' unaofanyika Leo katika UKUMBI wa mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre. (JNICC). Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (wa kwanza kushoto), Mhe. Jaji Mstaafu, Thomas MIHAYO, Rais wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) wa pili kushoto, Mhe. Shaaban Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (wa ...

 

5 years ago

Michuzi

TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TTB, Jaji Thomasi Mihayo (katikati), Mkurugenzi Mwendeshajiwa TTB, Devota Mdachi pamoja na Bw. Caesar Waitara wa Wizara ya Mambo ya Nje wakiwa ndani ya chumba cha mkutano katika ofisi za TTB. Baadhi ya wafanyakazi wa TTB wanaosimamia masoko ya utalii ya ukanda wa Asia na Australasia wakifuatilia mazungumzo wakati wa mkutano.
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yakutana Dar kujadili kuongoza Seriklali ya Awamu ya Tano

>Chadema, ambayo imekuwa ikieleza matumaini yao ya vyama vya upinzani kutwaa dola mwaka huu, leo inaanza kikao cha Kamati Kuu, huku moja ya ajenda ikiwa ni kuzungumzia kuongoza Serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

 

9 years ago

Michuzi

VETA YAKUTANA NA WADAU WA UMEME,VIWANDA NA MAGARI KUJADILI UTEKELEZAJI WA MAFUNZO



Washiriki wa warsha hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na mwakilishi wa mgeni rasmi ambaye ni mshauri wa mradi huo Bw. Ahmed Athumani.Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Soko la Ajira ,Mipango na Maendeleo wa VETA, Ahmed Athuman akizungumza katika warsha ya wadau wadau wa viwanda,umeme na magari kujadili utekelezaji wa mradi wa mafunzo yanayotolewa kwa ushirikiano kati VETA na wadau hao iliyofanyika katika ukumbi wa Giraffee Hoteli jijini Dar es Salaam.Sehemu ya wadau wakifatilia maada mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani