Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani
Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama
Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.
Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wizara ya Fedha yakutana na uongozi wa MCC kujadili utekelezaji awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania
Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania. Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na...
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-ajWlQPI8wtU/VLNPq92YKeI/AAAAAAAAVaQ/leYpib_tnHQ/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Chadema yakutana kujadili adhabu ya Spika
10 years ago
MichuziMAHAKAMA YA TANZANIA YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI (JUDICIAR MEDIA FORUM) KUJADILI JUU YA MISINGI BORA YA UPASHANAJI HABARI KATIKA UTENDAJI BAINA YA TAASISI HIZO MBILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA
![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s640/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdnUxUzggFs/XuBfePW5RaI/AAAAAAALtSA/-qQAy6FNGI8mBYi_NyaGVmTKuLy-1-LIwCLcBGAsYHQ/s640/2_Wafanyakazi.jpeg)
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...
10 years ago
Mwananchi03 May
Chadema yakutana Dar kujadili kuongoza Seriklali ya Awamu ya Tano
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dHA4giEHoRI/Vl0i9yc9YVI/AAAAAAAIJX8/M_hM8bN7Tu0/s72-c/_DSC2190%2B%25281%2529.jpg)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA UMEME,VIWANDA NA MAGARI KUJADILI UTEKELEZAJI WA MAFUNZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-dHA4giEHoRI/Vl0i9yc9YVI/AAAAAAAIJX8/M_hM8bN7Tu0/s640/_DSC2190%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iozd4sVfg10/Vl0i83c4usI/AAAAAAAIJXw/F65j6-WJXWw/s640/IMG_6035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MIym9QqgO9A/Vl0i9QKqQXI/AAAAAAAIJX0/8iu-uV1lpdI/s640/IMG_6036.jpg)