Chadema yakutana kujadili adhabu ya Spika
Homa ya Uchaguzi Mkuu imeifanya Chadema kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kujadili mambo ya kitaifa, ikiwamo adhabu waliyopewa wabunge wa Ukawa kabla ya kutoa tamko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 May
Chadema yakutana Dar kujadili kuongoza Seriklali ya Awamu ya Tano
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dHA4giEHoRI/Vl0i9yc9YVI/AAAAAAAIJX8/M_hM8bN7Tu0/s72-c/_DSC2190%2B%25281%2529.jpg)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA UMEME,VIWANDA NA MAGARI KUJADILI UTEKELEZAJI WA MAFUNZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-dHA4giEHoRI/Vl0i9yc9YVI/AAAAAAAIJX8/M_hM8bN7Tu0/s640/_DSC2190%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iozd4sVfg10/Vl0i83c4usI/AAAAAAAIJXw/F65j6-WJXWw/s640/IMG_6035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MIym9QqgO9A/Vl0i9QKqQXI/AAAAAAAIJX0/8iu-uV1lpdI/s640/IMG_6036.jpg)
10 years ago
VijimamboMISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...
9 years ago
StarTV21 Dec
Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani
Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama
Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.
Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7uRaXZLgFM/XnjQYnkWe4I/AAAAAAALk2c/phSpignFE2YZoozkoggjwixG_UgMn595ACLcBGAsYHQ/s72-c/85129023-3176-4eaa-9741-f84c3aaa1647.jpg)
NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.
Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum la Katiba yakutana kujadili namna ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko
Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum la Katiba wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo leo mjini Dodoma, kilichokuwa kikijadili mambo mbalimbali ikiwemo jinisi ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.
Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum la Katiba Pande Ameir Kificho akitoa mchango wake wakati wa kikao cha Kamati hiyo leo mjini Dodoma, kilichokuwa kikijadili mambo mbalimbali ikiwemo jinisi ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJADILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s400/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wizara ya Fedha yakutana na uongozi wa MCC kujadili utekelezaji awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania
Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania. Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10