SERIKALI YAJA NA MIKAKATI MINNE YA KUIMARISHA USALAMA KATIKA USAFIRI WA MAJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wg5Q0hfgjqk/XsgGVH73DwI/AAAAAAALrUc/X2TlJzwW7qMaSXOndhTx83pqKfMFBUUQgCLcBGAsYHQ/s72-c/96343759-612b-47d2-9b03-f0388d5a91a4.jpg)
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imefanya Uboreshaji wa Sheria na Mamlaka ya Udhibiti ya Usafiri Majini, Kuboresha shughuli za uokoaji, Miundombinu ya Bandari na Uboreshaji wa Mafunzo na Utoaji vyeti vya Mabaharia ikiwa ni hatua muhimu za kuimarisha usalama wa usafiri majini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe jijini Dodoma wakati akieleza mikakati iliyochukuliwa na Serikali katika kuimarisha usalama wa usafiri majini nchini ikiwa ni miaka 24...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Apr
Serikali yatangaza mikakati ya kuimarisha shilingi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum amesema kupatikana kwa mikopo ya kibiashara yenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 zitasaidia kupunguza kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.
9 years ago
StarTV17 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati imara ya kuimarisha uchumi
Chama cha Tathmini Tanzania kimeishauri Serikali kuweka mikakati imara ya kufanya tathmini na kutumia takwimu katika utungaji wa sera na mipango mbalimbali ya nchi ili kuwawezesha wananchi kuimarika kiuchumi.
Imesemekana kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazijaweka kipaumbele umuhimu wa kufanya tathmini katika miradi na matumizi ya takwimu kwenye uamuzi ,jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya watanzania.
Wakati Tanzania ikiajiandaa kuadhimisha siku ya Tathmini Duniani...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Serikali na mikakati ya kuimarisha elimu nje ya mfumo rasmi
10 years ago
Habarileo18 Feb
Sumatra yazuia vyombo vya usafiri wa majini
MAMLAKA ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imevizuia kutoa huduma kwa muda usiojulikana vyombo vyote vya usafirishaji wa majini vya mkoani hapa hadi hapo vitakapokaguliwa.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SExQcdBW2bM/U0KwqxFLZWI/AAAAAAACeQo/G1U4BcRyvAo/s72-c/IMG_3726.jpg)
USAFIRI WA MAJINI ZIWA TANGANYIKA JIONI YA LEO MKOANI KIGOMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SExQcdBW2bM/U0KwqxFLZWI/AAAAAAACeQo/G1U4BcRyvAo/s1600/IMG_3726.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h_axDXA_Hpw/U0KwxlOcRpI/AAAAAAACeQw/Fb7_2DULia8/s1600/IMG_3743.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X9XBy0n_eSM/U0Kwp-UlO2I/AAAAAAACeQg/IkLCgJzfwuc/s1600/IMG_3725.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HpakBUGIVWo/XoHrR8o86hI/AAAAAAALli0/my3cAnGoFXk0f5f-6NltoP5YrZbwnQQHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMISHNA CP SABAS AKUTANA NA KIKOSI MAALUM CHA KUIMARISHA ULINZI, USALAMA KATIKA MPAKA WA TANZANIA NA MSUMBIJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HpakBUGIVWo/XoHrR8o86hI/AAAAAAALli0/my3cAnGoFXk0f5f-6NltoP5YrZbwnQQHQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvRPH4TSjfs/XoHrTdNGl7I/AAAAAAALli8/E8TUCymgVIcrs-dIuUfJFf8oqep3lDPYwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yaja na mapya katika elimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s_kcfRBlKA8/XlntJhrbrrI/AAAAAAALgAQ/Hdw6ZQgwxYMF-UcaCuxvCx_L-QpDCzOgQCLcBGAsYHQ/s72-c/f739698c-0af8-446b-80c2-676b2951e730.jpg)
SERIKALI YA JAPAN YAINGIA MIKATABA MINNE KUUNGA MKONO HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA VIJIJI NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s_kcfRBlKA8/XlntJhrbrrI/AAAAAAALgAQ/Hdw6ZQgwxYMF-UcaCuxvCx_L-QpDCzOgQCLcBGAsYHQ/s640/f739698c-0af8-446b-80c2-676b2951e730.jpg)
Serikali hiyo ya Japan ikiwakilishwa na Balozi Goto Shinichi imeingia mkataba wa kusambaza magari ya wagonjwa katika hospitali ya KCMC wenye thamani ya dola za Kimarekani 52,996.
Mkataba mwengine ni pamoja na kusaidia mazingira ya elimu katika wilaya...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Tanzania, Uholanzi kuimarisha usafiri wa anga
WIZARA ya Uchukuzi imesaini mkataba na Uholanzi kwa ajili ya kuongeza wigo wa safari za ndege baina ya nchi hizo (BASA) kukabili changamoto za usafiri wa anga pamoja na kuongeza ulinzi na usalama wa anga.