USAFIRI WA MAJINI ZIWA TANGANYIKA JIONI YA LEO MKOANI KIGOMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SExQcdBW2bM/U0KwqxFLZWI/AAAAAAACeQo/G1U4BcRyvAo/s72-c/IMG_3726.jpg)
Baadhi ya abiria kutoka sehemu mbalimbali wakipanda Ngalawa kwenye ufukwe wa ziwa Tanganyika,sehemu ijulikanayo kwa jina la Kibirizi kuelekea upande wa pili wa fukwe ya ziwa hilo pajulikanapo kwa jiina la Kagunga,ambapo abiria hulipa nauli ya shilingi Elfu tano kwa kila kichwa,na huchukua masaa mane kufika kwenye ufukwe huo,ambako ni mpakani mwa jirani na nchi ya Burundi.
Abiria wakifunikwa turubai wasilowane na mvua,wakati ilipoanza kunyesha mjin hapa.
Baadhi ya abiria kutoka sehemu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EA0ZPJ6FVGY/VfA1KEFyyzI/AAAAAAAH3kg/1LohMjK_J9I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA, MJINI KIGOMA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-EA0ZPJ6FVGY/VfA1KEFyyzI/AAAAAAAH3kg/1LohMjK_J9I/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nLM1h7OFbCk/VfA1N4maChI/AAAAAAAH3lA/A7lSccdbqPY/s640/3B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--enf5pmcDW8/VFUXDlL-eSI/AAAAAAAGur8/d4H9UR4olfo/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA WAWEKEZAJI LA UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA LEO SUMBAWANGA MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--enf5pmcDW8/VFUXDlL-eSI/AAAAAAAGur8/d4H9UR4olfo/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uNokqrDB5Sc/VFUXEOBFJLI/AAAAAAAGusA/oiNOgfGhtjk/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s72-c/IMG_3779.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI MKOANI KIGOMA JIONI YA LEO KWA ZIARA YA SIKU TANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s1600/IMG_3779.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D8hb9U7Bqn0/U0QqAysGY6I/AAAAAAACeSo/QGfoSZdjG3Q/s1600/IMG_3793.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QCIHe5VFOc/U0QqDFReffI/AAAAAAACeSw/nclIuRFaLOk/s1600/IMG_3796.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la uwekezaji ukanda wa ziwa Tanganyika, mjini Kigoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Uwekezaji wa Ziwa Tanganyika, lililofanyika jana Sept 9, 2015 kwenye Hoteli ya Tanganyika Mjini Kigoma. (Picha na OMR).
Mwakilishi wa Umoja wa wafanyabishara wa Burundi, akizungumza.
Waziri wa Nchi- Uwekezaji na Uwezeshaji, Eng. Christopher Chiza, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi, Makamu wa Rais Dkt. Bilal ili kufungua Kongamano hilo.
Sehemu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s72-c/4.jpg)
WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vbR4vmlC5k/Uzlt2frBGZI/AAAAAAAFXiM/ncCPQClNXHc/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-bpPCErfvmgw/UzAQE2MdDAI/AAAAAAAAFLg/HCLeJxoSsy4/s1600/IMG_0558.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, SAAZ SULULA, AKAGUA MIRADI YA HIFADHI YA ZIWA TANGANYIKA MKOANI RUKWA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6BjCpLZzhoQ/Vg12QZk8pVI/AAAAAAAH8O8/SunqeebUnTQ/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII