DC ayataka makampuni mafuta na gesi kuimarisha mifumo ya usalama na afya kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIEdaUaNA-k/XvTcwRkkY-I/AAAAAAALvfQ/dtXZqQxDUwALIWw4qCZJlM9bVUi-52degCLcBGAsYHQ/s72-c/932d26b0-e06a-4d21-87c2-9e1973da8bec.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi. Sarah Msafiri akiongea na wadau wa Mafuta na gesi (ambao hawapo pichani), Kikao kilichofanyika Ofisi za Mkuu wa Wilaya Kigamboni kwaajili ya kujadiliana masuala ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wanyafanyakazi wa sekta hiyo.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA Bi Khadija Mwenda akiongea kwenye Kikao na wadau wa mafuta na gesi, kwenye kikao cha Kujadiliana masuala ya utekelezaji wa masula ya usalama na Afya kwenye sekta hiyo, kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s72-c/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Vodacom yashinda tuzo ya Usalama na Afya kazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s1600/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Tuzo hiyo inayotolewa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Nchini (OSHA) imetolewa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Duniani ambapo kitaifa ilifanyika jijini Dar es salaam wiki...
5 years ago
MichuziOSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI
Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU KUIMARISHA MIFUMO YA UTOAJI TAARIFA ZA TAHADHARI KUHUSU TABIA NCHI NCHINI
BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
Habarileo19 May
Makampuni ya mafuta yatakiwa yatosheleze soko la ndani - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameyataka makampuni yanayojihusisha na mafuta na gesi nchini, kuhakikisha yanatimiza mahitaji ya Soko la Ndani na ukanda wa Afrika Mashariki kabla ya kufikia Soko la Nje.
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ebola yabainisha udhaifu mifumo ya afya duniani
MKUTANO mkubwa wa kimataifa kuhusu masuala ya afya umeelezwa kuwa ugonjwa wa ebola umethibitisha kuwa dunia haijajenga uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa makubwa ya mlipuko.
9 years ago
Habarileo31 Aug
‘Mapato ya gesi yatumike kuimarisha kilimo’
MJUMBE wa Baraza la Wajuzi kutoka Baraza la Habari (MCT) Jenerali Twaha Ulimwengu ameshauri serikali kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji kwa kutumia fedha zinazotokana mauzo ya gesi asilia na mafuta.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Uganda:Majeshi Afrika kuimarisha usalama
10 years ago
Michuzi26 Aug
Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook
![website Design & Hosting in Tanzania](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/cXbCNeuYdMBMxtDjp1OFkwtRRx8zLngnN9BaN8F9Ew0z3T2FhlSohetq1AeTTfn4xt5KTVhU_1bX6Qdooeezjl3gLOJ4MAQF9Vr0CmY4TQ=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/images/Facebook-security-question.jpg)