TGNP wapinga Rasimu kutoweka kipengele cha kumwajibisha Rais
Katibu wa Kamati ya uchambuzi wa rasimu hiyo, Esther William (katikati) akisoma tamko la Wanaharakati wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao kwa waandishi wa habari jana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Badi Darusi na Hamadi Masudi Mjumbe (kushoto).
Na Mwandishi wetu
WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), linaloratibiwa na mtandao wa kijinsia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Sep
TGNP wapinga sharti la elimu ubunge
WANAHARAKATI wa masuala ya jamii na washiriki wa mafunzo ya jinsia na maendeleo yanayoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), wametaka rasimu mpya ibadilishe sifa ya ubunge kuwa kidato cha nne badala ya kujua kusoma na kuandika pekee.
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
ALAT wapinga rasimu kujadiliwa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT), Dk. Didas Masaburi, amelitaka Bunge Maalumu la Katiba kukataa kujadili rasimu ya Katiba kutokana na rasimu hiyo kutotambua mamlaka ya Serikali za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zy7A3BE_J6k/VXhMLQ4T1LI/AAAAAAAHed8/5eXDgN_oqN8/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AOMBWA KUMWAJIBISHA RC GAMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma
Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Facebook yafungua tena kipengele cha usalama
9 years ago
Bongo506 Nov
Washindi wa tuzo za MOBO 2015 watangazwa, Si Davido wala Wizkid aliyeshinda kipengele cha Afrika
![Mobo awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mobo-awards-300x194.png)
Tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) zimetolewa Jumatano ya Novemba 4 huko Leeds, Uingereza.
Fuse ODG
Wasanii wa Afrika walikuwa wakishindana kwenye kipengele kimoja tu cha ‘Best African Act’ ambapo msanii aliyeibuka kidedea kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG.
Fuse ODG amewashinda Wizkid, Davido, Patoranking, AKA, Yemi Alade, Moelogo, Mista Silva, Shatta Wale na Silvastone ambao walikuwa wakiwania kipengele hicho. Hakukuwa na msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki aliyeingia kwenye...
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards
9 years ago
Mtanzania06 Jan
TGNP walia na uteuzi wa Rais Magufuli
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MTANDAO wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi, umemwomba Rais Dk. John Magufuli, kusimamia kikamilifu utekelezwaji wa mikataba mbalimbali iliyosainiwa na Tanzania hasa ile ya usawa wa kijinsia ili kupunguza pengo lililopo kuelekea usawa wa 50/50 katika nafasi za uongozi.
Mikataba hiyo ni pamoja na Mpango Kazi wa Beijing (1995), Mkataba wa Maputo, Mkataba wa Nyongeza wa Jinsia na Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC ...
9 years ago
Bongo519 Oct
Davido, wizkid na AKA wavuka mchujo wa kwanza kwenye kipengele cha ‘Best African Act’ tuzo za MOBO 2015