Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TGNP wapinga Rasimu kutoweka kipengele cha kumwajibisha Rais

IMG_0008

Katibu wa Kamati ya uchambuzi wa rasimu hiyo, Esther William (katikati) akisoma tamko la Wanaharakati wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao kwa waandishi wa habari jana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Badi Darusi na Hamadi Masudi Mjumbe (kushoto).

Na Mwandishi wetu

WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), linaloratibiwa na mtandao wa kijinsia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TGNP wapinga sharti la elimu ubunge

WANAHARAKATI wa masuala ya jamii na washiriki wa mafunzo ya jinsia na maendeleo yanayoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), wametaka rasimu mpya ibadilishe sifa ya ubunge kuwa kidato cha nne badala ya kujua kusoma na kuandika pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT wapinga rasimu kujadiliwa

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT), Dk. Didas Masaburi, amelitaka Bunge Maalumu la Katiba kukataa kujadili rasimu ya Katiba kutokana na rasimu hiyo kutotambua mamlaka ya Serikali za...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AOMBWA KUMWAJIBISHA RC GAMA

Na Georgina Misama, MAELEZO-Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19



Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma

Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yafungua tena kipengele cha usalama

Mtandao wa facebook umefungua tena kipengele chake cha usalama kufuatia mlipuko m'baya wa bomu lililowauawa takriban watu 32 kaskazini mashariki mwa mji wa Yola nchini Nigeria.

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za MOBO 2015 watangazwa, Si Davido wala Wizkid aliyeshinda kipengele cha Afrika

Mobo awards

Tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) zimetolewa Jumatano ya Novemba 4 huko Leeds, Uingereza.

Fuse
Fuse ODG

Wasanii wa Afrika walikuwa wakishindana kwenye kipengele kimoja tu cha ‘Best African Act’ ambapo msanii aliyeibuka kidedea kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG.

Fuse ODG amewashinda Wizkid, Davido, Patoranking, AKA, Yemi Alade, Moelogo, Mista Silva, Shatta Wale na Silvastone ambao walikuwa wakiwania kipengele hicho. Hakukuwa na msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki aliyeingia kwenye...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra, jana Ijumaa, February 27. Diamond ametajwa kuwania kipengele cha msanii bora wa Afrika (African Artiste of The Year). Wasanii wengine watakaowania kipengele hicho ni […]

 

9 years ago

Mtanzania

TGNP walia na uteuzi wa Rais Magufuli

lilianNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

MTANDAO wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi, umemwomba Rais Dk. John Magufuli, kusimamia  kikamilifu  utekelezwaji  wa  mikataba  mbalimbali iliyosainiwa  na  Tanzania  hasa  ile  ya  usawa  wa  kijinsia  ili kupunguza  pengo  lililopo kuelekea usawa  wa  50/50  katika  nafasi  za  uongozi.

Mikataba  hiyo  ni  pamoja  na  Mpango  Kazi  wa  Beijing  (1995), Mkataba  wa  Maputo,  Mkataba  wa  Nyongeza  wa  Jinsia  na  Maendeleo  Kusini  mwa  Afrika  (SADC ...

 

9 years ago

Bongo5

Davido, wizkid na AKA wavuka mchujo wa kwanza kwenye kipengele cha ‘Best African Act’ tuzo za MOBO 2015

Mwanzoni mwa mwezi Octoba yalitangazwa majina ya wanamuziki wanaowania tuzo za ‘Music Of Black Origin’(MOBO) 2015 za Uingereza. Katika tuzo hizo kipo kipengele kimoja cha wasanii wa Afrika ‘Best African Act’ ambacho kwenye hatua ya mwanzo kilikuwa na nominees 10. Baada ya wiki moja majina hayo yalichujwa kutoka 10 na kubaki watano ambao ndio watakaochuana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani