Davido, wizkid na AKA wavuka mchujo wa kwanza kwenye kipengele cha ‘Best African Act’ tuzo za MOBO 2015
Mwanzoni mwa mwezi Octoba yalitangazwa majina ya wanamuziki wanaowania tuzo za ‘Music Of Black Origin’(MOBO) 2015 za Uingereza. Katika tuzo hizo kipo kipengele kimoja cha wasanii wa Afrika ‘Best African Act’ ambacho kwenye hatua ya mwanzo kilikuwa na nominees 10. Baada ya wiki moja majina hayo yalichujwa kutoka 10 na kubaki watano ambao ndio watakaochuana […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Washindi wa tuzo za MOBO 2015 watangazwa, Si Davido wala Wizkid aliyeshinda kipengele cha Afrika
![Mobo awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mobo-awards-300x194.png)
Tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) zimetolewa Jumatano ya Novemba 4 huko Leeds, Uingereza.
Fuse ODG
Wasanii wa Afrika walikuwa wakishindana kwenye kipengele kimoja tu cha ‘Best African Act’ ambapo msanii aliyeibuka kidedea kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG.
Fuse ODG amewashinda Wizkid, Davido, Patoranking, AKA, Yemi Alade, Moelogo, Mista Silva, Shatta Wale na Silvastone ambao walikuwa wakiwania kipengele hicho. Hakukuwa na msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki aliyeingia kwenye...
9 years ago
Bongo501 Oct
Wizkid na Davido uso kwa uso kwenye tuzo za MOBO 2015 za Uingereza, hakuna msanii wa Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5JyIr5680AowG*f52hX4d4xiFN4DoXp462sQ-2z5VmfRBUvJ-RJmBS7XQbfUv6D7xNzFGTH3QSQRoRq1yUbmCY/DAVIDO.png)
TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT
9 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards
9 years ago
Bongo522 Oct
Diamond, Alikiba, Vanessa, Cassper Nyovest, Yemi Alade,AKA, Davido, and 160+ other African superstars confirmed attendance for AFRIMA 2015 in Lagos
9 years ago
Bongo504 Nov
Vanessa Mdee, Wizkid, Davido, AKA, Flavour na wengine kutumbuiza South Nov 21
![11379892_931151246960569_1101213556_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11379892_931151246960569_1101213556_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee aka Vee Money anatarajia kutumbuiza wimbo wake mpya ‘Never Ever’ na zingine kwenye jukwaa kubwa zaidi la muziki wa Afrika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Nov 21.
Tamasha hilo lililopewa jina la African Music Concert litawakutanisha karibu wasanii wote wakubwa wa Afrika.
Pamoja na Vanessa Mdee, wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama do bling na Bucie.
Wengine ni Da LES, Darley, Anatii, Emmy Gee, The...
10 years ago
Bongo506 Oct
Best African Entertainer: Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Diamond Platnumz anyakua ‘3’ tuzo za AFRIMMA 2015, awaacha kwenye mataa Ali Kiba, Davido!
Tayari ‘Icon’ wa Tanzania Diamond Platnum ‘Dangote wa Bongo’ ameweza kuibuka na ushindi wa tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo Africa Muzik Magazine Award ‘AFRIMMA 2015’. Marekani katika mji wa Texas.
(Pichani ni baada ya ushindi huo, Diamond aliweza kuweka picha yake hiyo kupitia mitandao yake yote ya kijamii na kuandika: I realy don’t know What to say …dha! hata sijui nizungumze nini…
(Eeh Mungu baba tunakushkuru sana kwa kuzidi kuunyanyua na kuupa Thamani mziki wetu wa Afrika...