Diamond, Alikiba, Vanessa, Cassper Nyovest, Yemi Alade,AKA, Davido, and 160+ other African superstars confirmed attendance for AFRIMA 2015 in Lagos
In celebration of African music and culture, the All Africa Music Awards (AFRIMA) in league with the Africa Union Commission (AUC) has announced AFRIMA 2015 nominees and the multiple award-winning male choral group from South Africa, Ladysmith Black Mambazo to lead the invasion of over one hundred and sixty two (162) African superstars who have […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Oct
Cassper Nyovest adai ‘Composure’ ya AKA ilimchoma!
9 years ago
Bongo512 Oct
Publicity from AKA, Cassper Nyovest war worth millions
9 years ago
Bongo516 Nov
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee washinda tuzo 4 za AFRIMA 2015 Nigeria
![d n v](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/d-n-v-300x194.jpg)
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lagos, Nigeria ambapo Tanzania imetoa washindi wawili.
Diamond Platnumz aliyekuwa akiwania tuzo hizo ameibuka mshindi wa vipengele 3 kikiwemo kipengele muhimu cha Msanii Bora Wa Mwaka (Artist Of The Year) ambayo ilikuwa ikiwaniwa na Alikiba, Davido, Jose Chameleone, Wizkid, Yemi Alade, Sarkodie na Flavour.
Vipengele vingine alivyoshinda Diamond ni Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki (Best...
9 years ago
Bongo517 Nov
Cassper Nyovest aapa kutozungumzia tena beef yake na AKA, ‘It’s over for me’
![Cassper-Nyovest4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassper-Nyovest4-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameapa kutozungumzia tena beef yake na rapper AKA kwasababu ameamua kuachana nayo moja kwa moja ili aendelee na mambo mengine.
Akihojiwa kwenye kipindi cha MTV Base ‘Behind The Story’, Cassper ambaye ameshinda tuzo mbili za AFRIMA weekend iliyopita Lagos, Nigeria, alipohojiwa kuhusu beef yake na AKA alisema hataki kuzungumzia tena swala hilo, ameamua kuendelea mbele.
“I don’t wanna talk about it anymore. It’s not gonna end, man. This is one of the...
10 years ago
Bongo518 Dec
SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!
9 years ago
Bongo507 Oct
Cassper Nyovest akanusha kuwa alizomewa jukwaani kwa kuimba diss track ya AKA
9 years ago
Bongo502 Nov
#Filledthedome: Mashabiki wa Cassper Nyovest wamkejeli AKA Instagram baada ya kupost picha ya show yake
![Cassper n AKA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Cassper-n-AKA-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo510 Nov
AKA adai hajawahi kusikiliza diss track ya Cassper Nyovest ‘Dust 2 Dust’ iliyomlenga yeye
![Cassper-Nyovest-and-AKA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassper-Nyovest-and-AKA-300x194.jpg)
Wakati rapper Cassper Nyovest anakula bata Zanzibar na mpenzi wake , rapper AKA ameiamsha tena beef yao ambayo ilikuwa imemezwa na historia aliyoiweka Cassper ya kujaza ukumbi wa watu elfu 20 mwenyewe hadi kupongezwa na Rais Jacob Zuma siku chache zilizopita.
AKA ametweet na kusema kuwa hajawahi kusikiliza wimbo wa Cassper aliomdiss unaoitwa ‘Dust 2 Dust’.
Kwenye moja ya Tweet hizo AKA ameandika “kwanini nijidanganye kusikiliza wimbo uliojaa uongo kuhusu mimi?” (hapa sijui amejuaje umejaa...
9 years ago
Bongo503 Oct
Music: Cassper Nyovest aendeleza mashambulizi kwa AKA kwenye diss track mpya ‘Dust 2 Dust’