Vanessa Mdee, Wizkid, Davido, AKA, Flavour na wengine kutumbuiza South Nov 21
Vanessa Mdee aka Vee Money anatarajia kutumbuiza wimbo wake mpya ‘Never Ever’ na zingine kwenye jukwaa kubwa zaidi la muziki wa Afrika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Nov 21.
Tamasha hilo lililopewa jina la African Music Concert litawakutanisha karibu wasanii wote wakubwa wa Afrika.
Pamoja na Vanessa Mdee, wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama do bling na Bucie.
Wengine ni Da LES, Darley, Anatii, Emmy Gee, The...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
9 years ago
Bongo527 Nov
Mary J. Blige aungana na Diamond, Young Thug, AKA, Flavour na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’

Orodha ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye tamasha la la BET Experience Africa linalotarajiwa kufanyika December 12, 2015 jijini Johannesburg, Afrika Kusini inazidi kuongezeka.
Muimbaji mkongwe wa Rnb na mshindi wa tuzo ya Grammy, Mary J Blige kutoka Marekani metangazwa kuungana na wasanii wengine waliokuwa wameishatajwa akiwemo staa wetu Diamond Platnumz.
Miongoni mwa hit songs za Mary J. Blige ni pamoja na ‘Family Affair’, ‘No More Drama’ pamoja na ‘Be Without You’.
Wasanii...
10 years ago
Bongo519 Oct
Davido, wizkid na AKA wavuka mchujo wa kwanza kwenye kipengele cha ‘Best African Act’ tuzo za MOBO 2015
10 years ago
Bongo503 Apr
Vanessa Mdee atua Lagos, kutumbuiza kwenye Gidi Culture Festival Jumamosi hii
10 years ago
Bongo518 Mar
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na Awilo, Iyanya, Burna Boy, Nigeria mwezi ujao
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha
TRACE TV TV station ambayo inatazamwa sana na inasifika kwa kucheza mziki mzuri, sasa Dec 18 kwenye chati ya video 10 kali za Afrika, Mtanzania Vanessa Mdee kavunja rekodi kupitia video yake ya Neve Ever kwa kushika namba moja, tazama wengine nane aliowaacha. Kwenye hii chati kuna nyimbo mbili za Watanzania ikiwemo namba 4 ya […]
The post Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo522 Oct
Diamond, Alikiba, Vanessa, Cassper Nyovest, Yemi Alade,AKA, Davido, and 160+ other African superstars confirmed attendance for AFRIMA 2015 in Lagos
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo
Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.
“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...