Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo
Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.
“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Dec
Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika
![12346294_444980479044924_1318155553_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_444980479044924_1318155553_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.
Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.
MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.
Orodha hiyo ni:
1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.
![Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jux245.png)
Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi
“You can’t Stop Loving Short Girls Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith
20 years kakwama Kwa Aunty Jada
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata
Kuna mijitu itapanic basiSasa...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha
TRACE TV TV station ambayo inatazamwa sana na inasifika kwa kucheza mziki mzuri, sasa Dec 18 kwenye chati ya video 10 kali za Afrika, Mtanzania Vanessa Mdee kavunja rekodi kupitia video yake ya Neve Ever kwa kushika namba moja, tazama wengine nane aliowaacha. Kwenye hii chati kuna nyimbo mbili za Watanzania ikiwemo namba 4 ya […]
The post Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxUTXZg91jLmvFkxt1Yr7w*CoIwEtj4zXKSEbXJ1Z5tYn4TCXdK2qxGmWyfJtWVGOkTEdMO*vDKovoXK3o84kVGr/VANESSAMDEE.jpg?width=650)
VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
9 years ago
Bongo504 Nov
Vanessa Mdee, Wizkid, Davido, AKA, Flavour na wengine kutumbuiza South Nov 21
![11379892_931151246960569_1101213556_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11379892_931151246960569_1101213556_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee aka Vee Money anatarajia kutumbuiza wimbo wake mpya ‘Never Ever’ na zingine kwenye jukwaa kubwa zaidi la muziki wa Afrika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Nov 21.
Tamasha hilo lililopewa jina la African Music Concert litawakutanisha karibu wasanii wote wakubwa wa Afrika.
Pamoja na Vanessa Mdee, wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama do bling na Bucie.
Wengine ni Da LES, Darley, Anatii, Emmy Gee, The...
9 years ago
Bongo508 Dec
Vanessa Mdee: Mashabiki msitushindanishe wasanii, mnatukosanisha!
![vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/vanessa-300x194.jpg)
Mwanadada anayefanya vizuri na kibao, ‘Never Ever’, Vanessa Mdee amewataka mashabiki kuacha tabia ya kuwashindanisha wasanii au kuwagandamiza ili mmoja wao aonekane yupo juu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Vanessa alisema kila msanii ana nafasi yake katika muziki ndio maana ni vigumu kuwalinganisha.
“Kuna baadhi ya mashabiki siyo wote, wenye tabia ya kugandamiza wasanii. Tabia ya kupambanisha wasanii kwa sababu wana kitu fulani au ambao wanafanya kitu similar hii...
9 years ago
Bongo526 Nov
Vanessa Mdee ataja sababu za kuchelewa kuitoa album yake ‘Money Mondays’
![12276907_984236138289678_255207204_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12276907_984236138289678_255207204_n-300x194.jpg)
Album ya Vanessa Mdee, ‘Money Mondays’ ni kama imekamilika tayari lakini muimbaji huyo amesema ameichelewesha kuitoa kwasababu anaitengenezea mkakati mzuri wa kuichia.
Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa anaangalia njia sahihi ya kuitoa.
“Naichelewesha kuitoa sababu natafuta proper distribution plan,” amesema.
“Sitaki tu itoke halafu watu wakasikiliza halafu ikabakia hamna faida yoyote tuliyotengeneza. Nataka kutumia fursa kutengeneza album ambayo italeta utofauti kwenye utoaji wa album....