Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha

TRACE TV TV station ambayo inatazamwa sana na inasifika kwa kucheza mziki mzuri, sasa Dec 18 kwenye chati ya video 10 kali za Afrika, Mtanzania Vanessa Mdee kavunja rekodi kupitia video yake ya Neve Ever kwa kushika namba moja, tazama wengine nane aliowaacha. Kwenye hii chati kuna nyimbo mbili za Watanzania ikiwemo namba 4 ya […]

The post Vanessa Mdee aendelea kushika namba 1 TraceTV, tazama wengine 9 aliowaacha appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee, Wizkid, Davido, AKA, Flavour na wengine kutumbuiza South Nov 21

11379892_931151246960569_1101213556_n

Vanessa Mdee aka Vee Money anatarajia kutumbuiza wimbo wake mpya ‘Never Ever’ na zingine kwenye jukwaa kubwa zaidi la muziki wa Afrika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Nov 21.

11379892_931151246960569_1101213556_n

Tamasha hilo lililopewa jina la African Music Concert litawakutanisha karibu wasanii wote wakubwa wa Afrika.

10723756_149871895366693_1843374891_n

Pamoja na Vanessa Mdee, wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama do bling na Bucie.

Wengine ni Da LES, Darley, Anatii, Emmy Gee, The...

 

9 years ago

Bongo Movies

Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo

Vanessa-Afrima

Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.

“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...

 

9 years ago

Bongo5

‘Game’ ya Navy Kenzo yazidi kushika chati Nigeria, yakamata namba 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos

Navy Kenzo wanazidi kuwashika kina ‘Oga’, baada ya wimbo wao ‘Game’ kushika namba 1 kwenye Top 10 za The Beat 99.9 Fm ya Nigeria, wimbo huo umekamata nafasi ya 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos. ‘Game’ya Navy Kenzo wakiwa wamemshirikisha Vanessa Mdee imeshika namba 1 kwenye African Top 10 ya Naija 102.7 […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Vanessa Mdee — Never Ever

Video mpya Vanessa Mdee ya wimbo wake ‘Never Ever’ iliyoongozwa na Justin Campos. Ilifanyika nchini Afrika Kusini. Wimbo umetayarishwa na Nahreel. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

CloudsFM

New Video: Vanessa Mdee - Come Over

Baada ya kuisubilia kwa hamu kubwa sana video ya wimbo wa Come over toka kwa Vanessa, imeachiwa siku ya jana kupitia account ya Youtube ya Vanessa mdee chukua muda wako kuiangalia....

 

10 years ago

IPPmedia

Firm honours Vanessa Mdee


IPPmedia
Firm honours Vanessa Mdee
IPPmedia
Musician Vanessa Mdee got a huge boost of his career when she was named an ambassador for the city-based paints firm, Tanzania Crown last Friday. The firm's CEO Rakesh Rao said Mdee deserves the title due to her popularity and performance in the ...

 

10 years ago

TheCitizen

Mamas is the next step for Vanessa Mdee

The awards are set to be held on saturday July 18 in durban S.africa. Vanessa is in the best female category

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Ruby: Namtamani Vanessa Mdee

Rubby - Hellen-GeorgeNA MWALI IBRAHIM
MSANII chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ameonyesha tamaa ya mafanikio aliyonayo msanii mwenzake, Vanessa Mdee ‘Vee money’.
Ruby ambaye anatamba na wimbo wa ‘Nayule’ alisema, kutokana na mafanikio ya Vanessa ameamua kufuata nyayo zake ili afikie mafanikio yake.
“Anajiheshimu, ana kipaji na anajua nini anafanya na kipi mashabiki wake wanataka kwa wakati huo na mimi nataka kuwa kama yeye na ninaimani nitafika alipo,” alieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani