VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxUTXZg91jLmvFkxt1Yr7w*CoIwEtj4zXKSEbXJ1Z5tYn4TCXdK2qxGmWyfJtWVGOkTEdMO*vDKovoXK3o84kVGr/VANESSAMDEE.jpg?width=650)
Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee. Na Gladness Mallya MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee kwa mara ya kwanza amewatoa kimasomaso wasanii wa kike Bongo kwa kutwaa tuzo ya kimataifa za All Africa Music Awards ‘AFRIMA’ nchini Nigeria. Akizungumza na paparazi wetu Vanessa ambaye amepata tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo
Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.
“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...
9 years ago
Bongo513 Dec
Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika
![12346294_444980479044924_1318155553_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_444980479044924_1318155553_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.
Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.
MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.
Orodha hiyo ni:
1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Vanessa: Wasanii tubadilike kulingana na teknolojia
NA ADAM MKWEPU
MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni balozi wa Kampuni ya simu ya Samsung, Vanessa Mdee, amewataka wasanii wenzake waishi kwa kubadilika kulingana na mabadiliko ya teknolojia duniani.
Vanessa alisema hayo wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Sumsung 4G LTE ‘Muvika’ uliofanyika jijini Arusha ambapo alisema uwe ukurasa mpya kwa wasanii wenzake kwa kutumia simu kwa faida.
Naye mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo, Hyeongjun Seo, alisema uzinduzi huo umefanyika Arusha kwa kuwa wanaheshimu...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Jokate: Wasanii wa kike niungeni mkono
NA VICTORIA PATRICK (TSJ)
MWANAMITINDO, Joketi Mwegelo ‘Kidoti’, amewataka wasanii wenzake hasa wa kike wamtie nguvu kwa kununua bidhaa zake badala ya maneno matupu.
Mrembo huyo ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, alifafanua kwamba wasanii wengi wa kike wamekuwa wakisifia bidhaa zake kwa maneno lakini hawamuungi mkono kwa kuzinunua.
Jokate ambaye pia ni mwanamuziki na mwigizaji, alisema wasanii hao wakitumia bidhaa zake zitamuongezea kipato na kumtangaza yeye pamoja na taifa kwa...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Linah: Wasanii wa kike Bongo hatupendani
9 years ago
Bongo508 Dec
Vanessa Mdee: Mashabiki msitushindanishe wasanii, mnatukosanisha!
![vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/vanessa-300x194.jpg)
Mwanadada anayefanya vizuri na kibao, ‘Never Ever’, Vanessa Mdee amewataka mashabiki kuacha tabia ya kuwashindanisha wasanii au kuwagandamiza ili mmoja wao aonekane yupo juu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Vanessa alisema kila msanii ana nafasi yake katika muziki ndio maana ni vigumu kuwalinganisha.
“Kuna baadhi ya mashabiki siyo wote, wenye tabia ya kugandamiza wasanii. Tabia ya kupambanisha wasanii kwa sababu wana kitu fulani au ambao wanafanya kitu similar hii...
9 years ago
Bongo524 Dec
Baby J aitaja sababu inayowakwamisha wasanii wa kike kutoboa
![Baby J](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Baby-J-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Baby J amezitaja sababu zinazowakwamisha wasanii wengi wa kike kushindwa kufikia malengo yao.
Muimbaji huo aliye chini ya uongozi wa Mkubwa na Wanawe wa Said Fella, ameiambia Bongo5 kuwa moja ya sababu kubwa inayowafelisha wasanii wengi wa kike ni mfumo wa muziki wa zamani ambao ulitawaliwa na wanaume wengi.
“Kuna kitu ambacho mimi sasa hivi sitaki kukiangalia, nilikuwa nakiangalia zamani kwenye muziki. Watu wanaowasaidia wasanii ni wanaume pekee, hakuna meneja mwanamke...
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Wasanii wa kike walio katika mapenzi na wadogo zao
NA GEORGE KAYALA
NICK Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008, licha ya Mariah kuwa na umri mkubwa zaidi ya Nick.
Maisha yao yalikuwa na furaha na kila mmoja alimfurahia mwenzake, huku wakijivunia uhusiano wao uliopelekea ndoa yao kiasi kwamba wakapata watoto wawili mapacha, Monroe na Moroccan Scott Cannon.
Lakini baadaye wawili hao waliachana katika hali ya kutatanisha, kwa kuwa hakuna aliyewahi kuweka wazi kilichosababisha kutengana kwao, ingawa zipo tetesi kwamba wawili hao...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s72-c/1.jpg)
WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XcvejFxq_7w/VmqyGzZB0gI/AAAAAAAAoyg/NjZPMbgDmGE/s640/2.jpg)