Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baby J aitaja sababu inayowakwamisha wasanii wa kike kutoboa

Baby J

Staa wa muziki, Baby J amezitaja sababu zinazowakwamisha wasanii wengi wa kike kushindwa kufikia malengo yao.

Baby J

Muimbaji huo aliye chini ya uongozi wa Mkubwa na Wanawe wa Said Fella, ameiambia Bongo5 kuwa moja ya sababu kubwa inayowafelisha wasanii wengi wa kike ni mfumo wa muziki wa zamani ambao ulitawaliwa na wanaume wengi.

“Kuna kitu ambacho mimi sasa hivi sitaki kukiangalia, nilikuwa nakiangalia zamani kwenye muziki. Watu wanaowasaidia wasanii ni wanaume pekee, hakuna meneja mwanamke...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo

Vanessa-Afrima

Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.

“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...

 

10 years ago

Bongo5

Cassim aitaja sababu ya kuchelewa kutoa video ya Subira

Cassim Mganga ameamua kuifungia ndani video ya wimbo wake wa Subira aliyomshirikisha Christian Bella mpaka uchaguzi utakapopita. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ameona akiitoa video hiyo kwa wakati huu haitatendewa haki na mashabiki kutokana na kuwa busy na masuala ya uchaguzi. “Video ya Subira ipo tayari, tumeshafanya na Adam Juma lakini tumeshindwa kuitoa kwa sasa […]

 

10 years ago

Bongo5

Afande Sele aitaja sababu inayoipoteza hip hop ya Tanzania

Afande Sele amesema mpaka sasa hali inaonyesha kuwa muziki wa Hip Hop hauna nafasi tena nchini. Afande ameiambia Bongo5 kuwa waimbaji wengi wa muziki huo wameufanya upoteze mwelekeo. “Leo hii Singeli au muziki wa kuimba unaonekana unapendwa kuliko Hip Hop,” amesema Afande. “Unakuta wasanii wetu wengine wanaimba kama 50 Cent, Wiz Khalifa, watu wanashindwa kuimba […]

 

10 years ago

Bongo5

Young Killer aitaja sababu iliyomfanya aanze ‘mapenzi’ mapema!

Enzi za mababu zetu vijana walianza mapenzi wakiwa na umri mkubwa na pengine baada ya kuoa au kuolewa kwanza. Maisha yamebadilika, vijana siku hizi wanajua mambo ya wakubwa wakiwa wadogo. Young Killer ni mmoja wa watu waliojanjaruka mapema. “Ni kwasababu mimi nilikua tayari nipo active. Mimi nimeanza kujua vitu vingi mapema. Na hivyo vitu nilikuwa […]

 

10 years ago

GPL

SABABU 10 ZA MASTAA WA KIKE KUTODUMU KWENYE NDOA!

Na Hamida Hassan
Mastaa wengi wamekuwa hawadumu kwenye ndoa zao na wengine kwenye uhusiano wao wa kimapenzi. Ukijaribu kumuuliza kijana yeyote mwenye nia ya kuoa atakuambia bora aoe mwanamke wa kawaida kuliko staa. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph 'Batuli'. Si suala la kuoa tu, hata kwenye mapenzi ya kawaida ni wachache wanaoanzisha uhusiano na mastaa wakiwa na ndoto za kudumu kwa muda mrefu. Ukiona kijana...

 

11 years ago

Mwananchi

Linah: Wasanii wa kike Bongo hatupendani

Yalikuwapo makundi kadhaa likuwamo Kankaraga (Quenns of Swagger), Scopion Girls lililoundwa na Jack Pentezel, Miriam Jolwa (jini kabula) na Isabela Mpanda (Bela), The Trio lililoundwa na Kadja Nito, Angel Karashani na Alice.

 

10 years ago

Mtanzania

Jokate: Wasanii wa kike niungeni mkono

Jokate-Mwegelo-KidotiNA VICTORIA PATRICK (TSJ)

MWANAMITINDO, Joketi Mwegelo ‘Kidoti’, amewataka wasanii wenzake hasa wa kike wamtie nguvu kwa kununua bidhaa zake badala ya maneno matupu.

Mrembo huyo ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, alifafanua kwamba wasanii wengi wa kike wamekuwa wakisifia bidhaa zake kwa maneno lakini hawamuungi mkono kwa kuzinunua.

Jokate ambaye pia ni mwanamuziki na mwigizaji, alisema wasanii hao wakitumia bidhaa zake zitamuongezea kipato na kumtangaza yeye pamoja na taifa kwa...

 

10 years ago

GPL

VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE

Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee. Na Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee kwa mara ya kwanza amewatoa kimasomaso wasanii wa kike Bongo kwa kutwaa tuzo ya kimataifa za All Africa Music Awards ‘AFRIMA’ nchini Nigeria. Akizungumza na paparazi wetu Vanessa ambaye amepata tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki alisema...

 

11 years ago

GPL

WASANII BONGO HAWAJUI MAANA YA BIFU- BABY

Stori: Erick Evarist
MKALI wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ amefunguka kuwa wasanii wengi wa Kibongo hawaelewi maana ya bifu na faida zake. MkaliI wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’. Baby alisema wasanii wanapaswa kuiga mifano ya wasanii wa nje, wanaotumia bifu kuongeza mkwanja na umaarufu pia. “Hapa wanaendekeza majungu, wenzetu wakikosoana kimuziki,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani