Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cassim aitaja sababu ya kuchelewa kutoa video ya Subira

Cassim Mganga ameamua kuifungia ndani video ya wimbo wake wa Subira aliyomshirikisha Christian Bella mpaka uchaguzi utakapopita. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ameona akiitoa video hiyo kwa wakati huu haitatendewa haki na mashabiki kutokana na kuwa busy na masuala ya uchaguzi. “Video ya Subira ipo tayari, tumeshafanya na Adam Juma lakini tumeshindwa kuitoa kwa sasa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jokate awaomba mashabiki wamvumilie kwa kuchelewa kutoa video yake, atoa sababu zilizoichelewesha

Jokate Mwegelo ambaye hivi karibuni alishoot video ya wimbo wake wa kwanza kama msanii wa muziki nchini, ametoa sababu za kwanini mpaka sasa video wala wimbo huo havijafanikiwa kutoka. Jokate a.k.a Kidoti ameiambia Bongo5 kuwa video aliyoshoot Kenya imechelewa kwasababu kuna vitu ambavyo hakuvipenda katika video, hivyo vimechukua muda kurekebishwa ili kupata kitu bora zaidi. […]

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI

  Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema sababu ya kutotangaza mwenendo wa ugonjwa wa Corona ni kutokana na maboresho yanayofanyika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, ambapo kuna marekebisho yanafanyika na ndani ya siku chache marekebisho yatakamilika na watatoa taarifa.
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...

 

9 years ago

Bongo5

Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father

Yamoto Band wamesema walikabidhiwa video ya wimbo wake Cheza Kimadoido na muongozaji wa Afrika Kusini Godfather lakini waliomba ifanyiwe marekebisho kadhaa ndio maana imechelewa kutoka. Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Maromboso amesema kwa sasa video hiyo imekamilika. “Video ilikuja mara ya kwanza lakini tukasema hapana mbona […]

 

9 years ago

Bongo5

Baby J aitaja sababu inayowakwamisha wasanii wa kike kutoboa

Baby J

Staa wa muziki, Baby J amezitaja sababu zinazowakwamisha wasanii wengi wa kike kushindwa kufikia malengo yao.

Baby J

Muimbaji huo aliye chini ya uongozi wa Mkubwa na Wanawe wa Said Fella, ameiambia Bongo5 kuwa moja ya sababu kubwa inayowafelisha wasanii wengi wa kike ni mfumo wa muziki wa zamani ambao ulitawaliwa na wanaume wengi.

“Kuna kitu ambacho mimi sasa hivi sitaki kukiangalia, nilikuwa nakiangalia zamani kwenye muziki. Watu wanaowasaidia wasanii ni wanaume pekee, hakuna meneja mwanamke...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele aitaja sababu inayoipoteza hip hop ya Tanzania

Afande Sele amesema mpaka sasa hali inaonyesha kuwa muziki wa Hip Hop hauna nafasi tena nchini. Afande ameiambia Bongo5 kuwa waimbaji wengi wa muziki huo wameufanya upoteze mwelekeo. “Leo hii Singeli au muziki wa kuimba unaonekana unapendwa kuliko Hip Hop,” amesema Afande. “Unakuta wasanii wetu wengine wanaimba kama 50 Cent, Wiz Khalifa, watu wanashindwa kuimba […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer aitaja sababu iliyomfanya aanze ‘mapenzi’ mapema!

Enzi za mababu zetu vijana walianza mapenzi wakiwa na umri mkubwa na pengine baada ya kuoa au kuolewa kwanza. Maisha yamebadilika, vijana siku hizi wanajua mambo ya wakubwa wakiwa wadogo. Young Killer ni mmoja wa watu waliojanjaruka mapema. “Ni kwasababu mimi nilikua tayari nipo active. Mimi nimeanza kujua vitu vingi mapema. Na hivyo vitu nilikuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Jay Moe ataja sababu ya kuchelewa kuoa

Jaymoe

Jay Moe amesema bado hajapata mke mwema atakayeendana na ndoto zake.

Jaymoe

Jay Moe alisema hadi sasa bado hana mchumba.

“Bado napambana na kuangalia nani ambaye anaweza kwenda na ndoto zangu sio ilimradi tu nimeoa halafu watu waanze kuongea niliachana na yule! Ndio maana najaribu kuwa makini kupita njia ambazo zitakuwa sahihi kwangu,” alisema.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...

 

10 years ago

Michuzi

Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye, akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo asubuhi Julai 10, 2015. 
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015. 
Nape amesema vikao vyote...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ataja sababu za kuchelewa kuitoa album yake ‘Money Mondays’

12276907_984236138289678_255207204_n

Album ya Vanessa Mdee, ‘Money Mondays’ ni kama imekamilika tayari lakini muimbaji huyo amesema ameichelewesha kuitoa kwasababu anaitengenezea mkakati mzuri wa kuichia.

12276907_984236138289678_255207204_n

Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa anaangalia njia sahihi ya kuitoa.

“Naichelewesha kuitoa sababu natafuta proper distribution plan,” amesema.

“Sitaki tu itoke halafu watu wakasikiliza halafu ikabakia hamna faida yoyote tuliyotengeneza. Nataka kutumia fursa kutengeneza album ambayo italeta utofauti kwenye utoaji wa album....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani