Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father
Yamoto Band wamesema walikabidhiwa video ya wimbo wake Cheza Kimadoido na muongozaji wa Afrika Kusini Godfather lakini waliomba ifanyiwe marekebisho kadhaa ndio maana imechelewa kutoka. Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Maromboso amesema kwa sasa video hiyo imekamilika. “Video ilikuja mara ya kwanza lakini tukasema hapana mbona […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo506 Oct
Jokate awaomba mashabiki wamvumilie kwa kuchelewa kutoa video yake, atoa sababu zilizoichelewesha
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Bongo502 Sep
Video ya Yamoto Band ‘Cheza Kwa Madoido’ kutambulishwa MTV Base (Sept 2)
10 years ago
Bongo523 Oct
Cassim aitaja sababu ya kuchelewa kutoa video ya Subira
11 years ago
Dewji Blog01 Sep
Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,











Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.



































10 years ago
Africanjam.Com
11 years ago
02 Sep
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Dewji Blog25 Jan