Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father

Yamoto Band wamesema walikabidhiwa video ya wimbo wake Cheza Kimadoido na muongozaji wa Afrika Kusini Godfather lakini waliomba ifanyiwe marekebisho kadhaa ndio maana imechelewa kutoka. Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Maromboso amesema kwa sasa video hiyo imekamilika. “Video ilikuja mara ya kwanza lakini tukasema hapana mbona […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Jokate awaomba mashabiki wamvumilie kwa kuchelewa kutoa video yake, atoa sababu zilizoichelewesha

Jokate Mwegelo ambaye hivi karibuni alishoot video ya wimbo wake wa kwanza kama msanii wa muziki nchini, ametoa sababu za kwanini mpaka sasa video wala wimbo huo havijafanikiwa kutoka. Jokate a.k.a Kidoti ameiambia Bongo5 kuwa video aliyoshoot Kenya imechelewa kwasababu kuna vitu ambavyo hakuvipenda katika video, hivyo vimechukua muda kurekebishwa ili kupata kitu bora zaidi. […]

 

10 years ago

Bongo5

Video ya Yamoto Band ‘Cheza Kwa Madoido’ kutambulishwa MTV Base (Sept 2)

Miongoni mwa sabaabu ambazo wasanii wa Tanzania huzitoa wanapoamua kwenda kufanya video na madirector wa nje, moja wapo huwa ni kupata connection ya video zao kuchezwa katika vituo vya kimataifa. Yamoto Band pia wanaingia kwenye orodha ya wasanii wa Bongo ambao video zao zinaoneshwa na kituo cha MTV Base. Video yao ‘Cheza Kwa Madoido’ iliyoongozwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Cassim aitaja sababu ya kuchelewa kutoa video ya Subira

Cassim Mganga ameamua kuifungia ndani video ya wimbo wake wa Subira aliyomshirikisha Christian Bella mpaka uchaguzi utakapopita. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ameona akiitoa video hiyo kwa wakati huu haitatendewa haki na mashabiki kutokana na kuwa busy na masuala ya uchaguzi. “Video ya Subira ipo tayari, tumeshafanya na Adam Juma lakini tumeshindwa kuitoa kwa sasa […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,

Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.

IMG_9221

 

10 years ago

Africanjam.Com

10 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani