Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye, akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo asubuhi Julai 10, 2015.
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Rais Kikwete awasili mjini Dodoma tayari kwa kuongoza Vikao vya CCM
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Vijimambo
Rais Kikwete atoa Uraia kwa Wakimbizi wa Burundi- Aongoza Vikao vya CCM Dodoma



10 years ago
Dewji Blog10 Jul
10 years ago
GPL
VIKAO VYOTE VYA CCM KUANZA LEO SAA 4 ASUBUHI - NAPE NNAUYE
10 years ago
Michuzi
CCM YATANGAZA TAREHE ZA VIKAO VYAKE VIKUBWA VITAKAVYOFANYIKA MJINI DODOMA


10 years ago
Michuzi
JK atua mjini Dodoma leo kuendesha vikao vya chama cha mapinduzi


10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE ALIVYOWASILI DODOMA KUONGOZA VIKAO VYA CCM NA KULIHUTUBIA BUNGE