Rais Kikwete awasili mjini Dodoma tayari kwa kuongoza Vikao vya CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-tVfx5wcZR-c/VD6C1tNI-eI/AAAAAAAGqoo/iULuV_qJybU/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo ataongoza vikao vya CCM. Wapili kushoto ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda na watatu kushoto ni Makamu wa CCm Bara Ndugu Philip Mangula.
Wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Dodoma wakimvika skafu na kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-OseliymIZjA/VZ0PX4hkRkI/AAAAAAAAgsw/wJIOwB1LFGM/s640/1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIVYOWASILI DODOMA KUONGOZA VIKAO VYA CCM NA KULIHUTUBIA BUNGE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_69WFUiNhVk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ye3QQvUdI6M/VZ0PZHSaZBI/AAAAAAAAgs8/1-ZFzoW1hpo/s72-c/10.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI DODOMA MCHANA HUU TAYARI KWA KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI NA USALAMA YA CHAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ye3QQvUdI6M/VZ0PZHSaZBI/AAAAAAAAgs8/1-ZFzoW1hpo/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDYo6VtzBzY/VZ0PYrfpMUI/AAAAAAAAgs0/Apa4RZimV5U/s640/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fOZWDaiWAck/VZ0PZ4PehFI/AAAAAAAAgtI/FDc7HaHD7o4/s640/12.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s72-c/4.jpg)
MWENYEKITI WA CCM,RAIS JAKAYA KIKWETE AWASILI JIJINI MBEYA JIONI YA LEO TAYARI KWA KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM KESHO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4kxCfEFURw/Uu0mCWkXhsI/AAAAAAACZ1U/b-ceBti8L2c/s1600/6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yL9s32kcWlU/VD6PHuLWGvI/AAAAAAADJwg/Nm4Rs6j63Wk/s72-c/D92A2228.jpg)
Rais Kikwete atoa Uraia kwa Wakimbizi wa Burundi- Aongoza Vikao vya CCM Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-yL9s32kcWlU/VD6PHuLWGvI/AAAAAAADJwg/Nm4Rs6j63Wk/s1600/D92A2228.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0n5tsxsZ5RM/VD6PHaGpzeI/AAAAAAADJwc/pbbo8pD8TfU/s1600/D92A2281.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hvsF8k6P67A/VD6PHfLcRxI/AAAAAAADJwY/_6_H5iF71u0/s1600/D92A2398.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OFde_vMiEuc/VkhRbX7krKI/AAAAAAAArWc/G92OTW3AeiY/s72-c/4.jpg)
MWENYEKITI WA CCM TAIFA AWASILI DODOMA TAYARI KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-OFde_vMiEuc/VkhRbX7krKI/AAAAAAAArWc/G92OTW3AeiY/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1LWU44nO4y8/VkhRdzjylJI/AAAAAAAArWk/PvVREBkvmyA/s640/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fIB2RKkPeYg/Uv9uX1rs4UI/AAAAAAAFNUw/cH8ck0g3Tng/s72-c/unnamed+(14).jpg)
DKT. SHEIN AWASILI MJINI DODOMA LEO TAYARI KWA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-fIB2RKkPeYg/Uv9uX1rs4UI/AAAAAAAFNUw/cH8ck0g3Tng/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nda7jV1U19o/Uv9t3BEpbDI/AAAAAAAFNUQ/ibsrfOwOvfU/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HfkWblZYxPQ/Uv9t5cy5ppI/AAAAAAAFNUY/UwkdvWXzBQc/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/lJRcsLXbmoY/default.jpg)
Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote...
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
JK awasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM
Rais Jakaya Kikwete akialimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM August 19, 2014. Kushoto ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma August 19, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,...