Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAT wapinga rasimu kujadiliwa

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT), Dk. Didas Masaburi, amelitaka Bunge Maalumu la Katiba kukataa kujadili rasimu ya Katiba kutokana na rasimu hiyo kutotambua mamlaka ya Serikali za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka rasimu iendelee kujadiliwa

>Baadhi ya wasomi wameshauri kuwepo na uwanja mpana wa kuijadili Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Alat yalalamika kutengwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya

>Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (Alat) Taifa, Didas Masaburi ameitaka Serikali Kuu kutangaza kutokuzitambua  Serikali za Mitaa endapo inaona kuwa hazina umuhimu.

 

11 years ago

Dewji Blog

TGNP wapinga Rasimu kutoweka kipengele cha kumwajibisha Rais

IMG_0008

Katibu wa Kamati ya uchambuzi wa rasimu hiyo, Esther William (katikati) akisoma tamko la Wanaharakati wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao kwa waandishi wa habari jana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Badi Darusi na Hamadi Masudi Mjumbe (kushoto).

Na Mwandishi wetu

WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), linaloratibiwa na mtandao wa kijinsia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji kujadiliwa,Malaysia

Mawaziri wa mambo ya nje wa Thailand,Malaysia na Indonesia wanafanya mkutano wa dharula mjini Kuala Lumpur kujadili wahamiaji haramu.

 

11 years ago

Mtanzania

Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa

Mashine za EFD

Mashine za EFD

RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.

Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafisadi waanza kujadiliwa China

Zaidi ya maofisa wa kisiasa 80 wa kigeni na wasomi wameanza kukutana mjini Beijing, China kujadili kampeni ya sasa dhidi ya ufisadi.

 

11 years ago

Habarileo

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa

Mkurugenzi wa Utetezi, Maboresho na Sheria wa LHRC, Harold SungusiaKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni

BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa

Kenya na Somalia zinatarajiwa kurejelea mazungumzo kuhusu wakimbizi wa Somalia katika muda wa wiki mbili zijazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani