Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa

Kenya na Somalia zinatarajiwa kurejelea mazungumzo kuhusu wakimbizi wa Somalia katika muda wa wiki mbili zijazo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Sudan.K wamiminika Kenya

Huku mapigano yakiendelea Sudan Kusini, mamia ya wakimbizi wanaendelea kuingia nchi jirani ya Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yawarejesha nyumbani wakimbizi

Kenya, imeruhusu waandishi wa habari kuzuru uwanja unaoshikilia watu zaidi ya 100 katika 450 walionaswa katika msako.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya

UN inasema haijapokea amri rasmi kutoka kwa serikali ya Kenya ya kuitaka ifunge kambi ya wakimbizi wa Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini

Wakimbizi wote wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab wametakiwa kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini

Serikali ya Kenya imewaagiza wakimbizi wote wasomali wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi:UNHCR yaahidi kushirikiana na Kenya

Shirika linalosimamia wakimbizi UNHCR liko tayari kushirikiana na Kenya kuhakikisha usalama katika kambi ya wakimbizi ya Dadaab

 

11 years ago

Michuzi

Hatimaye wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kuanza kurudishwa makwao kwa hiari

Kambi ya wakimbizi Kenya Waswahili husema dalili za mvua ni mawingu, na panapofuka moshi kuna moto. Hii ni misemo inayoweza kuitumika kuelezea matumaini ya kutekelezeka kwa mkataba wa kuwarejesha makwao kwa hiari wafungwa wa Somalia waliko nchini Kenya zoezi ambalo awali lilikwama. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR nchini Kenya Abel Mbilinyi ambaye pia anaeleza namna Kenya inavyowahifadhi wakimbizi wa Sudani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani