Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini

Serikali ya Kenya imewaagiza wakimbizi wote wasomali wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini

Wakimbizi wote wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab wametakiwa kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.

 

10 years ago

StarTV

Wakimbizi wafia kambini Cameroon.

Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram wamefariki wakiwa katika kambi ya wakimbizi.

 
Baadhi ya wakazi waliokuwa kambini katika mji wa Fotokol karibu na mpaka wa Nigeria, wanasema kuwa mazingira katika kambi hizo, yalikuwa mabaya sana na kwamba watoto walifariki baada ya kuugua Malaria.

 
Wengine walilalamika kuwepo uhaba wa chakula kambini na kwamba walilazimika kuiba chakula kutoka kwa mashamba ya wenyeji.

 
Wadadisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria

Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko:H wamefariki klatika kambi ya wakimbizi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee

Mahakama kuu ya Kenya imeiruhusu kampuni inayoendesha ligi kuu ya Kandanda kuendelea mbele baada kutupa nje ombi la kuisimamisha ya FKF

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya yaamuru wachina wanne walioonekana wakimchapa mkenya warudishwe kwao

Raia wanne wa Uchina waliokamatwa na ofisi ya mkuu wa upelelezi wa uhalifu (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.

 

10 years ago

BBCSwahili

Televisheni kurejea hewani leo Kenya

Runinga tatu kubwa nchini Kenya zitaanza a kupeperusha matangazo yao saa 12 jioni baada ya kuzimwa majuma matatu yaliyopita

 

11 years ago

BBCSwahili

Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa

Kenya na Somalia zinatarajiwa kurejelea mazungumzo kuhusu wakimbizi wa Somalia katika muda wa wiki mbili zijazo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Sudan.K wamiminika Kenya

Huku mapigano yakiendelea Sudan Kusini, mamia ya wakimbizi wanaendelea kuingia nchi jirani ya Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani