Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini
Serikali ya Kenya imewaagiza wakimbizi wote wasomali wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini
10 years ago
StarTV07 Oct
Wakimbizi wafia kambini Cameroon.
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram wamefariki wakiwa katika kambi ya wakimbizi.
Baadhi ya wakazi waliokuwa kambini katika mji wa Fotokol karibu na mpaka wa Nigeria, wanasema kuwa mazingira katika kambi hizo, yalikuwa mabaya sana na kwamba watoto walifariki baada ya kuugua Malaria.
Wengine walilalamika kuwepo uhaba wa chakula kambini na kwamba walilazimika kuiba chakula kutoka kwa mashamba ya wenyeji.
Wadadisi...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Serikali ya Kenya yaamuru wachina wanne walioonekana wakimchapa mkenya warudishwe kwao
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Televisheni kurejea hewani leo Kenya
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wakimbizi wa Sudan.K wamiminika Kenya