Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Kenya yaamuru wachina wanne walioonekana wakimchapa mkenya warudishwe kwao

Raia wanne wa Uchina waliokamatwa na ofisi ya mkuu wa upelelezi wa uhalifu (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KENYA YAWATIMUA WACHINA WANNE KWA KOSA LA KUMCHAPA VIBOKO MKENYA ALIYECHELEWA KAZINI


  Raia wanne wa china waliokamatwa na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.
Agizo hilo lilisainiwa na Matiang'i Jumatano baada ya mahakama kuruhusu polisi kuwashikilia wachina wanne kwa siku 15 huku uchunguzi ukiendelea juu ya tukio la kumchapa viboko raia wa Kenya aliyekua akifanya kazi katika mgahawa ulioendeshwa na Wachina hao mjini Nairobi.
Raia hao wa china...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini

Serikali ya Kenya imewaagiza wakimbizi wote wasomali wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee

Mahakama kuu ya Kenya imeiruhusu kampuni inayoendesha ligi kuu ya Kandanda kuendelea mbele baada kutupa nje ombi la kuisimamisha ya FKF

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: 'Unyanyapaa' ulivyochochea chuki dhidi ya Wachina nchini Kenya

Kabla ya kurekodi hata kisa kimoja cha maambukizi ya virusi vya Corona, Kenya imeshuhudia unyanyapaa dhidi ya Wachina mara kadhaa.

 

10 years ago

Mtanzania

Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.

Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.

Hayo yalisemwa  Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...

 

11 years ago

Michuzi

GEORGE TYSON AZIKWA LEO KIJIJINI KWAO SIAYA,NCHINI KENYA.

 Hapa ndipo mwili wa Marehemu George Tyson ulipozikwa mapema leo mchana katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya.George Tyson ambaye alikuwa ni mmoja wa Waongozaji filamu mahiri hapa nchini Tanzania,alifarika kwa ajali ya gari wakati akitokea mkoani Dodoma kikazi akirejea jijini Dar.Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi.Amin. Misa ya mwisho ya kumuombea marehemu George Tyson nyumbani kwao mapema leo mchana katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya. Ndugu na jamaa mbalimbali wakitoa...

 

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege yawauwa wanne Kenya

Ndege ya mizigo imeanguka jijini Nairobi imewauwa watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa muda mfupi baada ya kupaa angani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani