Serikali ya Kenya yaamuru wachina wanne walioonekana wakimchapa mkenya warudishwe kwao
Raia wanne wa Uchina waliokamatwa na ofisi ya mkuu wa upelelezi wa uhalifu (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mbM79Ryxvvs/XkWMbEIiqpI/AAAAAAACyh4/j2L_rVzEw0U_yO4pXLEVvz6rWB5qXUpGgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110891304_4495bf3c-f1f5-4506-8f2f-4899a0bf998f.jpg)
KENYA YAWATIMUA WACHINA WANNE KWA KOSA LA KUMCHAPA VIBOKO MKENYA ALIYECHELEWA KAZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-mbM79Ryxvvs/XkWMbEIiqpI/AAAAAAACyh4/j2L_rVzEw0U_yO4pXLEVvz6rWB5qXUpGgCLcBGAsYHQ/s640/_110891304_4495bf3c-f1f5-4506-8f2f-4899a0bf998f.jpg)
Raia wanne wa china waliokamatwa na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.
Agizo hilo lilisainiwa na Matiang'i Jumatano baada ya mahakama kuruhusu polisi kuwashikilia wachina wanne kwa siku 15 huku uchunguzi ukiendelea juu ya tukio la kumchapa viboko raia wa Kenya aliyekua akifanya kazi katika mgahawa ulioendeshwa na Wachina hao mjini Nairobi.
Raia hao wa china...
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Coronavirus: 'Unyanyapaa' ulivyochochea chuki dhidi ya Wachina nchini Kenya
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.
Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.
Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Xzc2mQcbf_Y/U5w95m7KGAI/AAAAAAAFqoE/wPK9ECZxNgI/s72-c/IMG-20140614-WA0022.jpg)
GEORGE TYSON AZIKWA LEO KIJIJINI KWAO SIAYA,NCHINI KENYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xzc2mQcbf_Y/U5w95m7KGAI/AAAAAAAFqoE/wPK9ECZxNgI/s1600/IMG-20140614-WA0022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lo42rRZVvtQ/U5wvbsrfn2I/AAAAAAAFqlM/8m29519HPiA/s1600/IMG-20140614-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DovBeXK0mek/U5wvbMOwEOI/AAAAAAAFqlQ/uPAEcEikqJ8/s1600/IMG-20140614-WA0007.jpg)
11 years ago
CloudsFM05 Jun
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Ajali ya ndege yawauwa wanne Kenya