Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya ndege yawauwa wanne Kenya

Ndege ya mizigo imeanguka jijini Nairobi imewauwa watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa muda mfupi baada ya kupaa angani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA

Ndege ya mizigo baada ya kuanguka. WATU wanne akiwemo rubani wa ndege wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka leo alfajiri katika eneo la Utawala-Embakasi jijini Nairobi, Kenya. Ndege hiyo ya mizigo iliyokuwa inaelekea Mogadishu nchini Somalia imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi. Kwa mjibu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya, mwili wa mtu...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua wanne Makatanini

WATU wanne wamefariki na 32 kujeruhiwa baada ya basi la abiria la Polepole, trekta na bajaji kugongana eneo la Makatanini, wilaya ya Babati mkoa wa Manyara. Kaimu Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali yaua padri na wengine wanne


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WATU watano, akiwemo Padri wa Kanisa Katoliki, Paulo Mwanyalila, wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyomwua Padri Mwanyanyila, gari lenye namba za usajili T241 BKZ aina ya Toyota Coaster, liligongana na gari liingine ambalo haijafahamika aina wala namba zake za usajili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa moja jioni katika barabara ya Mbeya- Tukuyu, eneo la...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu wanne Dar

WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam ya ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza aliyetambuliwa kwa jina la Ally Hamadi (13) kufa baada ya kugongwa na gari akivuka barabara.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali ya basi yaua wanne Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWATU Wanne wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Nyahunge lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Morogoro kugongana na gari dogo eneo la Nzuguni Mjini hapa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waliofariki ajali ya bomu wafikia wanne

MAJERUHI Regina Mzakule (66) amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa katika tukio la bomu la kutupa kwa mkono ndani ya gari la abiria wilayani Buhigwe, Kigoma kufikia wanne. Bomu...

 

9 years ago

Mtanzania

Ajali ya basi yaua wanne Iringa

Na Mwandishi Wetu, Iringa

WATU wanne wamefariki dunia katika ajali ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo wilayani Mufindi mkoani Iringa.

Ajali hiyo ilitokea jana wilayani hapa kwa kuhusisha basi hilo lenye namba za usajili T 782 ACR linalofanya safari zake kati ya Njombe na Dar es salaam ambalo lilipata ajali asubuhi katika eneo la Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa.

Basi hilo lililokuwa likisafiri kutokea Njombe kuelekea Dar es Salaam liligongana na lori lenye namba za usajilli T 718...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya basi yaua wanne Bagamoyo

Watu wanne wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Hajees kupinduka katika Kijiji cha Mnazi, Kata ya Mandela wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani