Ajali ya ndege yawauwa wanne Kenya
Ndege ya mizigo imeanguka jijini Nairobi imewauwa watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa muda mfupi baada ya kupaa angani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pnnG5KndWVKoAk38PoFsO1p4a-ZZOKTQoP8Zq-3gtJG8rJhm35EIzundI6meoWVPa*aa*yY3TMKDYbVazLQqX4/NDEGE.jpg)
AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Ajali yaua wanne Makatanini
WATU wanne wamefariki na 32 kujeruhiwa baada ya basi la abiria la Polepole, trekta na bajaji kugongana eneo la Makatanini, wilaya ya Babati mkoa wa Manyara. Kaimu Kamanda wa Polisi...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Ajali yaua padri na wengine wanne
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WATU watano, akiwemo Padri wa Kanisa Katoliki, Paulo Mwanyalila, wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyomwua Padri Mwanyanyila, gari lenye namba za usajili T241 BKZ aina ya Toyota Coaster, liligongana na gari liingine ambalo haijafahamika aina wala namba zake za usajili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa moja jioni katika barabara ya Mbeya- Tukuyu, eneo la...
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ajali zaua watu wanne Dar
WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam ya ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza aliyetambuliwa kwa jina la Ally Hamadi (13) kufa baada ya kugongwa na gari akivuka barabara.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Ajali ya basi yaua wanne Dodoma
WATU Wanne wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Nyahunge lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Morogoro kugongana na gari dogo eneo la Nzuguni Mjini hapa.
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Waliofariki ajali ya bomu wafikia wanne
MAJERUHI Regina Mzakule (66) amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa katika tukio la bomu la kutupa kwa mkono ndani ya gari la abiria wilayani Buhigwe, Kigoma kufikia wanne. Bomu...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Ajali ya basi yaua wanne Iringa
Na Mwandishi Wetu, Iringa
WATU wanne wamefariki dunia katika ajali ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo wilayani Mufindi mkoani Iringa.
Ajali hiyo ilitokea jana wilayani hapa kwa kuhusisha basi hilo lenye namba za usajili T 782 ACR linalofanya safari zake kati ya Njombe na Dar es salaam ambalo lilipata ajali asubuhi katika eneo la Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa.
Basi hilo lililokuwa likisafiri kutokea Njombe kuelekea Dar es Salaam liligongana na lori lenye namba za usajilli T 718...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Ajali ya basi yaua wanne Bagamoyo