Waliofariki ajali ya bomu wafikia wanne
MAJERUHI Regina Mzakule (66) amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa katika tukio la bomu la kutupa kwa mkono ndani ya gari la abiria wilayani Buhigwe, Kigoma kufikia wanne. Bomu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
WHO: Waliofariki na Ebola wafikia 3000
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Bomu lalipua wanne tena Arusha
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi, Kamishina Issaya Mngulu.
Na Mwandishi wetu
Watu wanane wamejeruhiwa katika mlipuko wa Bomu uliotokea asubui ya leo maeneo ya Uzunguni jijini Arusha.
Akizungumza na Waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu alisema, tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian...
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia
10 years ago
VijimamboWALIOFARIKI KATIKA AJALI WAZIKWA PAMOJA MKOANI MOROGORO
11 years ago
Habarileo22 Jan
Marehemu ajali Noah wafikia 14
MTOTO wa miezi sita aliyejeruhiwa kwenye ajali ya gari dogo la abiria la Toyota Noah na lori la Scania mkoani hapa juzi, amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa kufikia 14. Happiness Elisha alifariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya St Gaspar, Itigi alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
10 years ago
CloudsFM06 Nov
HII NDIYO AJALI YA ILIYOUA MAOFISA WA BOT WALIOFARIKI,MWANZA.
MAOFISA wawili wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) waliokuwa wakisafirisha fedha kutoka Mwanza kuelekea Shinyanga, wamefariki dunia baada ya ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali.
Chanzo cha ajali hiyo kimeelezwa ni baada ya gari hilo lililokuwa likiongoza msafara wa magari ya BOT kupinduka baada ya kumgonga mwendasha pikipiki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, alisema ajali hiyo ilitokea jana saa 7:45 mchana katika barabara ya Mwanza - Shinyanga, eneo la Bohari, kata...