Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliofariki ajali ya bomu wafikia wanne

MAJERUHI Regina Mzakule (66) amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa katika tukio la bomu la kutupa kwa mkono ndani ya gari la abiria wilayani Buhigwe, Kigoma kufikia wanne. Bomu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22

Idadi ya raia wa Tanzania waliofariki katika mkanyagano wakiwa katika ibada ya Hajj nchini Saudi Arabia mwezi uliopita imeongezeka na kufikia 22

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO: Waliofariki na Ebola wafikia 3000

Shirika la afya duniani limesema kuwa zaidi ya watu 3000 wamedaiwa kufariki kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi

 

10 years ago

GPL

VIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90

Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria

Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa mlipuaji wa kujitolea muhanga amewaua watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa

 

11 years ago

Dewji Blog

Bomu lalipua wanne tena Arusha

SAM_1229

Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi, Kamishina Issaya Mngulu.

Na Mwandishi wetu

Watu wanane wamejeruhiwa katika mlipuko wa Bomu uliotokea asubui ya leo maeneo ya Uzunguni jijini Arusha.

Akizungumza na Waandishi  wa habari jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu alisema, tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia

Bomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia.

 

10 years ago

Vijimambo

WALIOFARIKI KATIKA AJALI WAZIKWA PAMOJA MKOANI MOROGORO

 Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo akishiriki kwenye mazishi ya watu waliofariki kwenye ajali ya magari mawili ya lori na basi kugongana eneo la Iyovi Morogoro na kuzikwa Makaburi ya Msavu Wilaya ya Kilosa. (Picha na Said Powa)

 

11 years ago

Habarileo

Marehemu ajali Noah wafikia 14

MTOTO wa miezi sita aliyejeruhiwa kwenye ajali ya gari dogo la abiria la Toyota Noah na lori la Scania mkoani hapa juzi, amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa kufikia 14. Happiness Elisha alifariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya St Gaspar, Itigi alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

 

10 years ago

CloudsFM

HII NDIYO AJALI YA ILIYOUA MAOFISA WA BOT WALIOFARIKI,MWANZA.

MAOFISA wawili wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) waliokuwa wakisafirisha fedha kutoka Mwanza kuelekea Shinyanga, wamefariki dunia baada ya ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali.Chanzo cha ajali hiyo kimeelezwa ni baada ya gari hilo lililokuwa likiongoza msafara wa magari ya BOT kupinduka baada ya kumgonga mwendasha pikipiki.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, alisema ajali hiyo ilitokea jana saa 7:45 mchana katika barabara ya Mwanza - Shinyanga, eneo la Bohari, kata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani