Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia
Bomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Shambulio la bomu laua watano, Somalia
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
BOMU laua Kigoma
Na Mwandishi wetu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya kulipukiwa na bomu katika kijiji cha Migongo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma wakiwa ndani ya gari la abiria aina ya Hiace.
Akizungumzia tukio hilo leo hii, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kilelema, Benedicto Mahuta, alisema kuwa tukio hilo lilitokea mida ya saa 11 alfajiri ambapo majambazi watano ndio walitekeleza tukio hilo wakati wakiwa kwenye jitihada za kuliteka.
Alisema kuwa awali gari hilo lilikuwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bomu laua mmoja Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Bomu laua polisi 10 Uturuki
10 years ago
Habarileo21 Aug
Bomu laua watu 3 kwenye basi
WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Bomu laua watatu, dereva wa jaji auawa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
FUSO LAUA WANNE TEMEKE
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Airbus laua wanne, lajeruhi 35 Kilosa