Bomu laua mmoja Zanzibar
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana katika eneo la Darajani, muda mfupi baada ya kuhudhuria mawaidha yaliyokuwa yakitolewa na Sheikh Kassim Mafuta Kassim (38) mkazi wa Pongwe mkoani Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Bomu lauwa mmoja mjini Zanzibar
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
BOMU laua Kigoma
Na Mwandishi wetu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya kulipukiwa na bomu katika kijiji cha Migongo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma wakiwa ndani ya gari la abiria aina ya Hiace.
Akizungumzia tukio hilo leo hii, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kilelema, Benedicto Mahuta, alisema kuwa tukio hilo lilitokea mida ya saa 11 alfajiri ambapo majambazi watano ndio walitekeleza tukio hilo wakati wakiwa kwenye jitihada za kuliteka.
Alisema kuwa awali gari hilo lilikuwa...
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Bomu laua polisi 10 Uturuki
10 years ago
Habarileo21 Aug
Bomu laua watu 3 kwenye basi
WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Shambulio la bomu laua watano, Somalia
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Bomu laua watatu, dereva wa jaji auawa
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia