Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Muhamed Khatib Mkombalaguha amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa vibaya baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mmoja afa, watano wajeruhiwa Tarime
Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bomu laua mmoja Zanzibar
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana katika eneo la Darajani, muda mfupi baada ya kuhudhuria mawaidha yaliyokuwa yakitolewa na Sheikh Kassim Mafuta Kassim (38) mkazi wa Pongwe mkoani Tanga.
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Bomu lauwa mmoja mjini Zanzibar
Bomu linaloarifiwa kuwa la misumari limeripuliwa Zanzibar wakati wageni wengi wamekusanyika mjini humo kwa shughuli mbili kubwa
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja
Mtu mmoja ameripotiwa kufariki huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi la bomu kisiwani Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Lori la mafuta lalipuka Dar, wawili wajeruhiwa
Taharuki ya aina yake ilitokea jana eneo la Tabata Relini kwenye yadi ya malori ya Kampuni ya Oilcom baada ya kutokea kishindo kikubwa kilichotokana na kupasuka kwa tanki la mafuta.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJeJ0-ikXd*m6muMqBiafZsRAL6Ngqy*KD2RWUsbM1-9n-GJQKIJZf2koBdgk8s6g06Iiei5Ijfu80NOt3MwcTn/IMG20140414WA00001.jpg?width=650)
BOMU LALIPUKA NA KUJERUHI ARUSHA
Hali ya sintofahamu iliyowakumba wakazi wa jiji la Arusha baada ya bomu kulipuka jana. Majeruhi baada ya bomu kulipuka.…
11 years ago
Habarileo07 May
Bomu lalipuka eneo la Kanisa
BOMU limelipuka katika nyumba ya kulala wageni iliyopo katika eneo la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Usharika wa Imani, jijini Mwanza na kujeruhi vibaya mtumishi wa kanisa hilo.
11 years ago
Mwananchi07 May
Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani
Mtu mmoja amejeruhiwa baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Ziwa Victoria, Makongoro Misheni, Mwanza.
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Bomu lalipuka ndani ya basi Msri
Mtu mmoja amekufa na wanne kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu ndani ya basi la abiria katika eneo la Nasr mji mkuu wa Misri, Cairo kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania