Lori la mafuta lalipuka Dar, wawili wajeruhiwa
Taharuki ya aina yake ilitokea jana eneo la Tabata Relini kwenye yadi ya malori ya Kampuni ya Oilcom baada ya kutokea kishindo kikubwa kilichotokana na kupasuka kwa tanki la mafuta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Lori la mafuta lalipuka laua, lajeruhi 19 Dar
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Lori la mafuta lalipuka, laua watatu Mbeya
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Lori la mafuta laleta maafa Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WATU wanne wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya, baada ya lori lililokuwa limebeba mafuta ya petroli kuanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Mbagala Rangitatu.
Hali hiyo ilizua taharuki na vilio kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani, baada ya idadi kubwa ya watu kujeruhiwa vibaya kutokana na moto huo ulioanza saa 6 usiku.
Watu wengi walijeruhiwa baada ya kwenda kuchota mafuta yaliyokuwa yanamwagika wakiwa na ndoo, vidumu vya lita tano na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Lori la mafuta laua na kujeruhi Dar
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo.
Na Mwandishi wetu
Moto mkubwa umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine 19 waliokuwa wanachota mafuta ya petroli yaliyomwagika baada ya lori kupinduka eneo la Mbagala rangi tatu.
Tukio hilo linadaiwa kutokea kati ya saa 4:40 – 5.15 usiku wakati lori hilo liliposhindwa kukata kona kwenye mzunguko wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam na kuanguka kwenye mtaro.
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo alimtaja aliyekufa katika tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISD0-DWnAwlHb6es3daQkKVhMeeWX1yKKvYKq0OyXKYyVHKhe3W3JPjZjOqe*XyL5rKOkD1WioxbebKyjazfrnYx/WESE1.jpg?width=650)
LORI LALIPUKA MIKUMI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR