LORI LALIPUKA MIKUMI
![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISD0-DWnAwlHb6es3daQkKVhMeeWX1yKKvYKq0OyXKYyVHKhe3W3JPjZjOqe*XyL5rKOkD1WioxbebKyjazfrnYx/WESE1.jpg?width=650)
Ajali ya Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami ambalo limeshika moto mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi,Morogoro.Chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
NEWZ ALERT:LORI LALIPUKA MIKUMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s1600/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
''Kama una safari ya kwenda Iringa-Mbeya au kama unapokwenda utapita mikumi basi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
LORI LALIPUKA ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s640/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3XV2ltXmNXs/VG3DYGwZMNI/AAAAAAAGyZc/SnMeGfdIEZE/s640/IMG-20141120-WA0013.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Lori la mafuta lalipuka Dar, wawili wajeruhiwa
Taharuki ya aina yake ilitokea jana eneo la Tabata Relini kwenye yadi ya malori ya Kampuni ya Oilcom baada ya kutokea kishindo kikubwa kilichotokana na kupasuka kwa tanki la mafuta.
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Lori la mafuta lalipuka, laua watatu Mbeya
>Ilikuwa ni kama marudio ya ajali ya mwaka 2002, lakini ukubwa wa athari za tukio la jana unatofautiana baada ya watu watatu kufariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa wakati wakijaribu kuchota mafuta kutoka kwenye lori lililopinduka katika Kijiji cha Idweli.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Lori la mafuta lalipuka laua, lajeruhi 19 Dar
Moto mkubwa umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine 19 waliokuwa wanachota mafuta ya petroli yaliyomwagika baada ya lori kupinduka.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE
 Wananchi wakiangalia lori baada ya kuungua.  Mabaki ya lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii.…
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-EB9Y9fLn_pM/VmeJBvJ05YI/AAAAAAAAXY8/xoo9X360o4Q/s72-c/FB_IMG_1449624403393.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.itv.co.tz/media/image/LORI.jpg?width=650)
LORI LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA LORI LINGINE
Lori la kusafirisha mafuta linateketea kwa moto. Lori la kusafirisha mafuta likiwa na shehena kubwa ya mafuta aina ya Diesel limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali ya kugongwa na lori lingine katika eneo la igurusi wilayani mbarali. Ajali hiyo imetokea  ikihusisha lori lenye namba za usajili T417 ABF, mali ya kampuni ya Camel oil ambalo lilikuwa likisafirisha lita 35,000 za mafuta aina ya diesel kutoka jijini Dar es...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania