MBUNGE WA MIKUMI MH. JOSEPH HAULE AKARABATI BARABARA JIMBONI MIKUMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-EB9Y9fLn_pM/VmeJBvJ05YI/AAAAAAAAXY8/xoo9X360o4Q/s72-c/FB_IMG_1449624403393.jpg)
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Fedha za barabara ya Turiani, Mikumi zasakwa
SERIKALI imesema bado inatafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Turiani hadi Mikumi, katika sehemu ya Ulaya hadi Mikumi yenye urefu wa kilomita 43.7.
Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, alisema ujenzi wa barabara ya Turiani hadi Mikumi umegawanywa katika awamu nne.
Alisema sehemu ya kwanza ni kutoka sehemu ya Magole hadi Turiani, yenye urefu wa kilomita 45 ambapo sehemu hiyo imeshakamilika kwa asilimia 69.
“Sehemu ya pili ni kutoka Dumila hadi Rudewa...
9 years ago
Bongo527 Oct
Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISD0-DWnAwlHb6es3daQkKVhMeeWX1yKKvYKq0OyXKYyVHKhe3W3JPjZjOqe*XyL5rKOkD1WioxbebKyjazfrnYx/WESE1.jpg?width=650)
LORI LALIPUKA MIKUMI
9 years ago
Habarileo06 Dec
Fuso laua nyati 8 Mikumi
WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VgLqmflGGkDLEVJHmLHyyiQbrRNRnQwY6LdVwbY90Uf*KgajUqi6AdFSqnalOv*Zr*7RbwbaxSL-RD3pNzp8DTc/breakingnews.gif)
AJALI NYINGINE TENA MIKUMI
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Prof. J kuwania ubunge Mikumi
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, mwakani anatarajia kugombea Ubunge jimbo la Mikumi Mkoani Morogoro. Akizungumza na Tanzania Daima, rafiki yake wa karibu na Profesa Jay,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJrW84dxfHT5jNZuKAQmzRvYqc*K-2G3InKzUGpM-TYTBRiSQZvOMzG997ebC*SB6p5nT1x7ysoUfJOn8bGcwAj/5.jpg?width=650)
PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Vijana Mikumi watakiwa kuachana na ujangili
VIJANA kutoka vijiji 20 vinavyozunguka hifadhi ya taifa ya Mikumi Kilosa mkoani Morogoro wameshauriwa kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya ujangili na badala yake kuunda vikundi vidogo vya ujasiriamali...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...