Prof. J kuwania ubunge Mikumi
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, mwakani anatarajia kugombea Ubunge jimbo la Mikumi Mkoani Morogoro. Akizungumza na Tanzania Daima, rafiki yake wa karibu na Profesa Jay,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xJ9F2VY-FII/VRlZeOto6YI/AAAAAAADR0Q/QTChM830BGg/s72-c/prof%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s72-c/Profesa%2BJ.jpg)
Hatimaye Profesa J atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Mikumi
![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s640/Profesa%2BJ.jpg)
10 years ago
GPLPROF. MUHONGO ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (pichani juu) naye ametangaza nia ya kuwania Urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Ukumbi wa Chuo Huria huko Musoma mkoani Mara jioni hii. Prof. Muhongo amesema hawezi kutoa ahadi ya mishahara wakati hajakuza uchumi, hawezi kutoa ahadi ya kujenge shule wakati hajakuza uchumi hivyo tukuze kwanza uchumi kama ulivyo kauli mbiu yake ya Tukuze Uchumi,...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-EB9Y9fLn_pM/VmeJBvJ05YI/AAAAAAAAXY8/xoo9X360o4Q/s72-c/FB_IMG_1449624403393.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Sep
Kalapina kuwania ubunge Kinondoni
MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Kalama Masoud ‘Kalapina’ aliyekuwa amewekewa pingamizi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni, ameshinda rufani yake katika Tume ya Uchaguzi na kwa sasa ni mgombea rasmi wa jimbo hilo.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Atangaza kuwania ubunge Arumeru
NA SHAABAN MDOE, ARUMERU
JOTO la ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki limezidi kupanda baada ya kada wa CCM wilayani humo, Elirehema Kaaya, kutangaza kuwania kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kaaya ambaye aliwahi kugombea nafasi hiyo mwaka 2005 na 2010, alisema juzi, kuwa hajakata tamaa kwa kuwa anaamini amejipanga kikamilifu.
Mtangaza nia huyo ambaye kwa sasa ni Ofisa Uhusiano wa Jiji la Mwanza, alisema kilichomsukuma kuwania ubunge ni pamoja na kusukumwa na dhamira ya kutatua...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania