PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJrW84dxfHT5jNZuKAQmzRvYqc*K-2G3InKzUGpM-TYTBRiSQZvOMzG997ebC*SB6p5nT1x7ysoUfJOn8bGcwAj/5.jpg?width=650)
Stori: Sifael Paul Katika harakati za kulinyakua Jimbo la Mikumi wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro kwa tiketi ya chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Kizazi Kipya, Joseph Haule almaarufu Profesa Jay (pichani) ameendelea kupasua anga kwenye jimbo hilo akifungua matawi mapya na kuhamasisha watu kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Profesa Jay akiwa na Joseph...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xJ9F2VY-FII/VRlZeOto6YI/AAAAAAADR0Q/QTChM830BGg/s72-c/prof%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-UYhnnIJW8Ac/VdyV8kQwGRI/AAAAAAACAFk/boAbmmYpUn4/s72-c/blogger-image-654306649.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APASUA ANGA SUMBAWANGA LEO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UYhnnIJW8Ac/VdyV8kQwGRI/AAAAAAACAFk/boAbmmYpUn4/s640/blogger-image-654306649.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-c1Ed50jU3gs/VdyWABkVNfI/AAAAAAACAFs/HXcCLTa8v5c/s640/blogger-image-1651567638.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NG5WoACqzaQ/VdyhsmPV9kI/AAAAAAACAF8/B4BXEfb4Zb8/s640/blogger-image--1903152272.jpg)
Nyomi iliyojitokeza kumsikiliza mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa michezo wa mji wa Sumbawanga
9 years ago
Bongo527 Oct
Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s72-c/Profesa%2BJ.jpg)
Hatimaye Profesa J atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Mikumi
![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s640/Profesa%2BJ.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...