LORI LALIPUKA ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
Tumepokea picha ya tukio la ajali ya Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami ambalo limeshika moto mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi, Morogoro.chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika mpaka sasa na bado hatujapata taarifa kama kuna aliepoteza maisha au kupatwa kwa majeruhi.Chini ni ujumbe kutoka kwa mdau wetu alietuletea taswira hizi kuhusiana na hali ya barabara hiyo.
''Kama una safari ya kwenda Iringa-Mbeya au kama unapokwenda utapita mikumi basi sitisha safari kwani njia inefungwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISD0-DWnAwlHb6es3daQkKVhMeeWX1yKKvYKq0OyXKYyVHKhe3W3JPjZjOqe*XyL5rKOkD1WioxbebKyjazfrnYx/WESE1.jpg?width=650)
LORI LALIPUKA MIKUMI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
NEWZ ALERT:LORI LALIPUKA MIKUMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s1600/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
''Kama una safari ya kwenda Iringa-Mbeya au kama unapokwenda utapita mikumi basi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s72-c/IMG-20140507-WA0011.jpg)
BREAKING NYUZZZ: BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI JIONI HII ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s1600/IMG-20140507-WA0011.jpg)
TAARIFA KAMILI ITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
9 years ago
Mwananchi31 Oct
Watu sita wafa ajalini Mikumi mkoani Morogoro
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Lori la mafuta lalipuka, laua watatu Mbeya
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Lori la mafuta lalipuka Dar, wawili wajeruhiwa
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Lori la mafuta lalipuka laua, lajeruhi 19 Dar
11 years ago
Habarileo07 May
Bomu lalipuka eneo la Kanisa
BOMU limelipuka katika nyumba ya kulala wageni iliyopo katika eneo la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Usharika wa Imani, jijini Mwanza na kujeruhi vibaya mtumishi wa kanisa hilo.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE