BREAKING NYUZZZ: BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI JIONI HII ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s72-c/IMG-20140507-WA0011.jpg)
Baadhi ya abiria waliokuwemo kwenye basi la Princess Muro walilokuwa wakisafiri nalo kutoka Mkoani Mbeya kuja jijini Dar es Salaam wakiwa hawajui la kufanya baada ya Basi hilo kupinduka jini hii katika eneo la Hifadhi ya Wanyama ya Mikumi,Mkoani Morogoro.
TAARIFA KAMILI ITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAMiXspl92E9XXph5bdRL*5U13L3sujBF-HkVh9Dk3m-Z-wK2g5gRs8Iu0sdsVvGldei3WhPyPo9vZl3rR0q7ib/1ajali2.jpg)
BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI MIKUMI MKOANI MORO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s72-c/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
BREAKING NEWS: BASI LA SIMIYU LILILOKUWA LINATOKEA MWANZA KWENDA DAR LAPATA AJALI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s640/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fD0bOT2nd0c/U2ybM-EkBeI/AAAAAAAANV8/7NsHFEgvZOk/s72-c/ajali1.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-fD0bOT2nd0c/U2ybM-EkBeI/AAAAAAAANV8/7NsHFEgvZOk/s1600/ajali1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCfBawifN78/U2ybTrU-sBI/AAAAAAAANWE/JIKeM1sNts4/s1600/ajaliiii.jpg)
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Breaking News: Basi la Luwinzo lapata ajali Mufindi
Ajali ilivyotokea mapema leo asubuhi.
Shughuli za kuwaokoa walionusurika na ajali.
AJALI mbaya imetokea leo asubuhi baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Njombe, kugongana na lori wakati basi hilo likiwa linatoka Njombe kuelekea Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Ajali imetokea katika eneo la Kinegembasi, Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi mkoani Njombe.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
LORI LALIPUKA ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s640/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3XV2ltXmNXs/VG3DYGwZMNI/AAAAAAAGyZc/SnMeGfdIEZE/s640/IMG-20141120-WA0013.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6IJ-Hb7fvCLroFmPeYjZ4dBHNHUnGi9SLYkqy7MQ*mKFsXmaZ0ArEvxxVdz9aQnFZ0t7B*4TglCUspLlJZjeb8/IMG20150318WA0008.jpg?width=650)
AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cGo6tZ2Pjx0/U75Oi6usarI/AAAAAAAF0b0/u1pMXJPCeAM/s72-c/0e181b0c2373127091efa71e90b76a5b.jpg)
basi la amani lapata ajali maeneo ya salanda mkoani tabora, mtoto mmoja afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGo6tZ2Pjx0/U75Oi6usarI/AAAAAAAF0b0/u1pMXJPCeAM/s1600/0e181b0c2373127091efa71e90b76a5b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aeQujKkzX2k/U75OiVqolsI/AAAAAAAF0bo/GMrp1GiZGG4/s1600/02882a9c9d41a00666fe4ed394af84cc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h7G-T9q1rPI/U75Oi_x4OAI/AAAAAAAF0bs/OyMTnXPua5I/s1600/6899959f0968195d98ac10d9fea7d3da.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-edeMEgxlOfc/U75OkY_PM1I/AAAAAAAF0b4/WcN2WY7uezc/s1600/acd0b12d117431f12389153f5e5d5207.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JHIHHBt42YI/U75OlD2nptI/AAAAAAAF0cI/FYlV4XJTJjI/s1600/d7f7190b8f9412af2688c736446d16cd.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI