Watu sita wafa ajalini Mikumi mkoani Morogoro
Watu sita wamepoteza maisha baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi linalomilikiwa na kampuni ya Prince Muro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Saba wafa ajalini mkoani Manyara
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s72-c/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
LORI LALIPUKA ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gLwV0Tz-Sjk/VG3DYlIYVII/AAAAAAAGyZg/_pQGv8XiMYM/s640/IMG-20141120-WA0015%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3XV2ltXmNXs/VG3DYGwZMNI/AAAAAAAGyZc/SnMeGfdIEZE/s640/IMG-20141120-WA0013.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s72-c/IMG-20140507-WA0011.jpg)
BREAKING NYUZZZ: BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI JIONI HII ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s1600/IMG-20140507-WA0011.jpg)
TAARIFA KAMILI ITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
IGP MANGU AWASILI MKOANI MOROGORO KUFUNGUA MKUTANO WA SITA WA MWAKA URA-SACCOS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpUfZYIPbRM/VSY2GVaoR1I/AAAAAAAHPv4/P61JnHldizM/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.
Na,Jumbe Ismailly, Singida
WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Watatu wafa ajalini Same
WATU watatu wamekufa papo hapo katika matukio mawili tofauti ya ajali ya gari wilayani Same Kilimanjaro likiwemo la mwendesha pikipiki anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 kugongwa na gari la mizigo....
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wawili wafa ajalini Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...