Shambulio la bomu laua watano, Somalia
Mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa ndani ya gari umetokea karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mogadishu nchini Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen
Watu 12 wameuawa kwenye shambulio la bomu katika msikiti mmoja Sanaa siku mbili baada ya Rais wa Yemen Abdrabbuh Hadi kurudi Aden.
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia
Bomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oNdKhh5dYwqzOZGLQYKVVMVzoj4qUUXKvhXMiLjedmzwSTbn-m54MjkG7l6hukJL5P74Z1mlPT7U0FeuSieUvqt/MAITII.jpg)
SHAMBULIO LINGINE LAUA 10 MPEKETONI
Baadhi ya wananchi wakishuhudia miili ya wenzao waliowauwa katika shambulio la usiku wa kuamkia jana Mpeketoni. Pikipiki, magari na hoteli baada ya kuchomwa moto na kundi la Al Shabaab usiku wa kuamki jana kabla ya shambulio la leo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SvPN3e*0rsa1Ujg1LC3gjQF0YRgwmbvAoNm*EJTgWwQvbgaQY4hFs6kSVvYbfTWIf5UoxzuMhWsiHhNtk*m*Zm/lamuattackshabaab.jpg?width=650)
SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA
Mabaki ya magari katika shambulio la Mpeketoni. WATU watano wamepoteza maisha baada ya shambulio lililotokea usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Pandanguo huko Witu wilayani Lamu nchini Kenya kilometa 30 kutoka Mpeketoni yalipotokea mauaji ya watu zaidi ya 60 wiki iliyopita. Polisi wamesema kuwa waliouawa ni kutoka jamii mbalimbali. Mkuu wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo amesema kuwa washambuliaji walivamia kijiji cha...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Shambulio la kigaidi laua nchini Kenya
Watu wenye silaha wameshambulia mji wa Wajir kaskazini mwa Kenya na kuua mtu mooja na wengine wanne wamejeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Shambulio laua tena Mombasa Kenya
Mtu mmoja ameuawa katika mapambano kati ya polisi na vijana mjini Mombasa, Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6qXmV*pKzduDYq4Deo6T3h12q*oUzh9QfkbDtgGZFUvcHXwamDlyEvdnOjkIzbfRgl1OxIJzHUA5H9ggSZkadrz/_82760522_0270495071.jpg?width=650)
SHAMBULIO LA MAGURUNETI LAUA WATATU BUJUMBURA
Shambulio mjini Bujumbura. Watu watatu wameripotiwa kuuawa kwa shambulizi la guruneti jijini Bujumbura. Polisi nchini Burundi wamesema kuwa, watu wasiojulikana jana walivurumisha maguruneti mawili katika duka moja jijini Bujumbura na kupelekea watu watatu kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa. Jenerali Godefroid Bizimana naibu kamanda mkuu wa polisi nchini Burundi amesema kuwa, Polisi wameimarisha ulinzi na usalama wa eneo...
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Shambulio la Syria laua watu kumi
Shambulio la bomu lililotekelezwa kwenye kikosi cha ulinzi cha wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria limeua watu kumi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8YTQUYokyeE93xgS14F4pIcPMFwevMKT1RLUuLH5EZT6*UEIMr37JA47zohEUFY4QHpqBWFRbxt3yZ7rgjYNTF1/map.png)
SHAMBULIO LA KIGAIDI LAUA 2 NA KUJERUHI 30 KENYA
WATU wawili wamepoteza maisha huku takribani 30 wakijeruhiwa baada ya watu wapatao watano wanaodaiwa kufunika nyuso zao kushambulia Chuo Kikuu cha Garrissa kilichopo Kaskazini mashariki mwa Kenya. Shambulio hilo linadaiwa kufanyika mapema leo wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika sala yao ya alfajiri. Watu walioshuhudia tukio hilo wameeleza kuwa kuna majeruhi wengi ndani ya chuo hicho. Wapiganaji hao wanadaiwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania