Shambulio la kigaidi laua nchini Kenya
Watu wenye silaha wameshambulia mji wa Wajir kaskazini mwa Kenya na kuua mtu mooja na wengine wanne wamejeruhiwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8YTQUYokyeE93xgS14F4pIcPMFwevMKT1RLUuLH5EZT6*UEIMr37JA47zohEUFY4QHpqBWFRbxt3yZ7rgjYNTF1/map.png)
SHAMBULIO LA KIGAIDI LAUA 2 NA KUJERUHI 30 KENYA
WATU wawili wamepoteza maisha huku takribani 30 wakijeruhiwa baada ya watu wapatao watano wanaodaiwa kufunika nyuso zao kushambulia Chuo Kikuu cha Garrissa kilichopo Kaskazini mashariki mwa Kenya. Shambulio hilo linadaiwa kufanyika mapema leo wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika sala yao ya alfajiri. Watu walioshuhudia tukio hilo wameeleza kuwa kuna majeruhi wengi ndani ya chuo hicho. Wapiganaji hao wanadaiwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lv6nS1gZFaG1Cx9Ggn6hqngvf72HikaX*b8ZU8DOEn1kys*8Xfmdj*ucwg5dKEsR52lBQ4SHzY6NZ6HY1X5Gfpb/GIDEONKIMILU.jpg)
JESHI NCHINI KENYA LATOA MAJINA YA WAHUSIKA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA MANDERA
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Gedion M Kimilu. JESHI la Polisi nchini Kenya leo limetoa majina ya watuhumiwa wawili wanaosakwa kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi la Mandera ambao ni Mohamed Mohamud aka Dulyadin aka Gamadheere kutoka Garissa na Ahmed Iman kutoka Majengo jijini Nairobi. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini Kenya leo. Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa… ...
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*JoV1omPzSNBJRMYmIwv6srkVccE6Ngk*hRxMArCVxnFvjvlaC70Bv5KzbCQa8Gqkvm*bI*T0VOHzk52ZAMinhDFd7YdkHL8/MAUAJIKENYA16.jpg?width=650)
KENYA YAADHIMISHA MWAKA 1 WA SHAMBULIO LA KIGAIDI
Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la maduka ya Westgate baada ya shambulio hilo. WANANCHI wa Kenya leo wanaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi katika maduka ya Westgate ambapo takriban watu 67 walipoteza maisha wakiwemo washukiwa wanne wa shambulio hilo.
Shambulio hilo…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SvPN3e*0rsa1Ujg1LC3gjQF0YRgwmbvAoNm*EJTgWwQvbgaQY4hFs6kSVvYbfTWIf5UoxzuMhWsiHhNtk*m*Zm/lamuattackshabaab.jpg?width=650)
SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA
Mabaki ya magari katika shambulio la Mpeketoni. WATU watano wamepoteza maisha baada ya shambulio lililotokea usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Pandanguo huko Witu wilayani Lamu nchini Kenya kilometa 30 kutoka Mpeketoni yalipotokea mauaji ya watu zaidi ya 60 wiki iliyopita. Polisi wamesema kuwa waliouawa ni kutoka jamii mbalimbali. Mkuu wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo amesema kuwa washambuliaji walivamia kijiji cha...
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Shambulio laua tena Mombasa Kenya
Mtu mmoja ameuawa katika mapambano kati ya polisi na vijana mjini Mombasa, Kenya
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya
Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulia hoteli moja kubwa nchini Nairobi.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Tunisia yatibua shambulio la kigaidi
Mamlaka nchini Tunisia imesema kuwa imewakamata wapiganaji 16 na kutibua shambulio ambalo huenda lingekuwa kubwa kuwahi kutokea mwezi huu.
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Canada yakumbwa na shambulio la Kigaidi
Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania