Bomu laua watatu, dereva wa jaji auawa
Watu watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya mtu anayesadikiwa kuwa ni jambazi, kurusha bomu ndani ya basi dogo aina ya Toyota Hiace lililokuwa likitoka Kilelema kwenda Kasulu, Kigoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Bomu latupwa ndani ya basi Kigoma, laua watatu na kuacha sita taabani
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
BOMU laua Kigoma
Na Mwandishi wetu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya kulipukiwa na bomu katika kijiji cha Migongo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma wakiwa ndani ya gari la abiria aina ya Hiace.
Akizungumzia tukio hilo leo hii, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kilelema, Benedicto Mahuta, alisema kuwa tukio hilo lilitokea mida ya saa 11 alfajiri ambapo majambazi watano ndio walitekeleza tukio hilo wakati wakiwa kwenye jitihada za kuliteka.
Alisema kuwa awali gari hilo lilikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Basi la Taqwa laua dereva wake
BASI la Kampuni ya Taqwa lenye namba ya usajili T 532 BYJ lililokuwa likielekea nchini Burundi, limegonga magari mawili na kusababisha kifo cha dereva wake na kujeruhi baadhi ya abiria na...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bomu laua mmoja Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Bomu laua polisi 10 Uturuki
10 years ago
Habarileo21 Aug
Bomu laua watu 3 kwenye basi
WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Shambulio la bomu laua watano, Somalia
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia