Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi la Taqwa laua dereva wake

BASI la Kampuni ya Taqwa lenye namba ya usajili T 532 BYJ lililokuwa likielekea nchini Burundi, limegonga magari mawili na kusababisha kifo cha dereva wake na kujeruhi baadhi ya abiria na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Taqwa lagongana na lori, dereva afa

DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.

 

5 years ago

Michuzi

MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI

AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...

 

10 years ago

Vijimambo

DEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA

Gari lenye namba za usajili T 607 CVL likiwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.

Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...

 

10 years ago

Mwananchi

Bomu laua watatu, dereva wa jaji auawa

Watu watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya mtu anayesadikiwa kuwa ni jambazi, kurusha bomu ndani ya basi dogo aina ya Toyota Hiace lililokuwa likitoka Kilelema kwenda Kasulu, Kigoma.

 

11 years ago

Habarileo

Basi laua polisi 5

ASKARI Polisi watano wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wamekufa papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso wa uso na basi la Kampuni ya Mohammed Trans. Ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Corolla lenye namba ya usajili T 770 ABT lililotumiwa na polisi hao na basi aina ya Scania lenye namba za usajili T 997 AVW, mali ya Kampuni ya Mohammed Trans lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Basi laua wawili, kujeruhi 40

 Ajali ya ndege na nyingine ya basi, zimesababisha vifo vya watu wawili na wengine zaidi 50 kujeruhiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Basi lapinduka, laua watano

Watu watano wamefariki dunia papohapo na wengine 50 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Mohamed Trans lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupinduka katika Kijiji cha Makomero, wilayani Igunga.

 

9 years ago

Mtanzania

Basi la Takbir laua watu 12

PgNA SEIF TAKAZA,  IRAMBA

WATU 12  wamefariki dunia papo hapo na wengine 19 kujeruhiwa, baada ya basi la Kampuni ya Takbir kugongana na lori la mafuta katika Kijiji cha Kizonzo, Shelui Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Ajali hiyo ilitokea katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Mwanza.

Kamanda wa Polisi  Mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka, aliwaambia waandishi wa habari jana  kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa 1.30 usiku  wakati basi hilo lilipokuwa  likitoka Dar es Salaam kwenda Geita.

Alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Basi laua watu 10 Mwanza

WATU 10 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa na kokoto lililoegeshwa kando ya barabara kisha kupinduka katika eneo la Nyamhongholo, jijini Mwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani