DEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Gari lenye namba za usajili T 607 CVL likiwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
Dereva Gabreil Joseph wa basi la ABC apongezwa na abiria
Basi la ABC T.433 CVL linaloendeshwa na dereva mbunifu,Gabriel Joseph.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
DEREVA wa kampuni ya mabasi ya ABC yafanyayo safari zake kati ya Singida na Dar-es-salaam, Gabriel Joseph, amepongezwa kwa hatua yake ya kupandisha hadhi ya wateja wake kwa kuwabatiza jina la wanafamilia wa ABC, badala ya jina la abiria lililozoeleka kwenye vyombo mbalimbali vya usafiri.
Gabriel pamoja na kupandisha hadhi ya abiria wake na kuwaita wanafamilia ya ABC, pia...
10 years ago
Habarileo13 Apr
Moto waua abiria 18 wa basi Moro
WATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Basi lawaka moto, abiria 18 wateketea
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
WATU 18 wameteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori na kuwaka moto.
Ajali hiyo ilitokea jana saa mbili asubuhi katika Kijiji cha Msimba kilichopo Tarafa ya Mikumi, Barabara kuu ya Morogoro–Mbeya ikihusisha basi la Kampuni ya Nganga lenye namba za usajili T 373 DAH lililokuwa likitoka Kilombero mkoani Morogoro kuelekea Mbeya.
Lori lililogongana na basi hilo lenye namba za usajili T 164 BKG aina...
10 years ago
Habarileo13 Apr
Moto waua abiria 18 wa basi Morogoro
WATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.
10 years ago
Vijimambo11 Mar
BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPN4MTkzhZdj2BMrcDES1HIF0YNw7aY-wcMX89rwE0Fhjepd-Y38ePQKv7UEsAEFJCLYrCaALYfgkAnLw5UuEcP/IMG20150311WA0021.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPdNyoxKIGsqVYw7Tb1JwcrtYFanGQgYMhaeukec9x6Z0nQw8JfVCyhxle2Egy3gUpWa3VCHWprFD4CxARiZhIy/IMG20150311WA0019.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPL-LJm9MwPWS-4FH0*P6EZJX8*kHXfp0x9z9aM90uvpkTgqCeqVXj*aUg66ySSlt-qTRH5wf5JztkOoSJPly0h/IMG20150311WA0014.jpg)
Inadaiwa kuwa basi hilo lilikuwa limebeba abiria 65 na abiria nane tu ndiyo walionusurika katika ajali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
KwanzaJamii11 May
Abiria apindua basi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuU0SkwhrrfkbdhvcE7r6aLQJfeqjzA5pvgEMCOnbRoE*srxIdvS-d4ykqmCr7We7CFyMoQlrMsemSzJS3*dCxGx/abiria.jpg?width=650)
ABIRIA AJICHINJA NDANI YA BASI
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Abiria afa ndani ya basi
WATU wawili wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro katika matukio tofauti, likiwemo la mmoja aliyekutwa amekufa akiwa katika basi la Kampuni ya Kilenga akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa...