Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUSO LAUA WANNE TEMEKE

WATU wanne wamepoteza maisha wakati watatu wakijeruhiwa baada ya kugongwa na fuso lililokatika breki eneo la mto Mkokozi, Temeke jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, fuso hilo lilikuwa limebeba mzigo wa kokoto likitokea Mjimwema, lilipofika daraja la mto Mkokozi, lilikatika breki kisha likaparamia bajaj mbili na kusababisha maafa hayo. Chanzo: Jamii Forum ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Fuso laua nyati 8 Mikumi

WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.

 

10 years ago

GPL

FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO

Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake. Baiskeli ya marehemu ikipakiwa kwenye gari.…

 

10 years ago

Habarileo

Fuso labamiza Hiace na kuua wanne

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU wanne wamekufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T196 AAW aina ya Toyota Hiace, kugongwa kwa nyuma na gari lenye namba za usajili T 430 AQQ aina ya Mitsubishi Fuso.

 

10 years ago

Mwananchi

Airbus laua wanne, lajeruhi 35 Kilosa

Watu wanne wamekufa papo hapo na wengine 35 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Airbus walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora, kuanguka eneo la Berega, wilayani Kilosa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia

Bomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia.

 

10 years ago

Vijimambo

WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI

 Watu wanne wamefariki dunia na wengine kumi na mmoja kujeruhiwa,watatu kati yao hali zao ni mbaya na kulazimika kukimbizwa katika hospitali ya KCMC kufuatia ajali iliyohusisha magari ya FUSO na HIACE katika daraja la Mto Kikavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. Fuso likiwa limeharibika vibaya kuytoka na ajali hiyo
Magari yakiwa kwenye foleni baada ya kutokea kwa ajali hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

Basi laua trafiki wanne, viongozi wa kijiji, ndugu 10

>Watu 19 wakiwamo askari polisi wanne wa Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Singida wamekufa papo hapo baada ya kugogwa na basi la Sumry lililokuwa linatoka Kigoma kwenda Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

                         Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures. This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond Motors (Hansa Group) has introduceda NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign

                

Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.

This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond

Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani