FUSO LAUA WANNE TEMEKE
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATU wanne wamepoteza maisha wakati watatu wakijeruhiwa baada ya kugongwa na fuso lililokatika breki eneo la mto Mkokozi, Temeke jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, fuso hilo lilikuwa limebeba mzigo wa kokoto likitokea Mjimwema, lilipofika daraja la mto Mkokozi, lilikatika breki kisha likaparamia bajaj mbili na kusababisha maafa hayo. Chanzo: Jamii Forum ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Dec
Fuso laua nyati 8 Mikumi
WANYAMA pori aina ya mbogo ‘ nyati’ wanane wenye thamani ya Sh milioni 32.6, wamekufa papo hapo kutokana na kugongwa na gari la mizigo, wakivuka barabara kuu ya Morogoro – Iringa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwN2w*6YPNiM7Tg9pro8gyP*eewx2DTqqehHlR7sfpIvhtXr2QNGCqmtaUI3Ucaj84Cb587h0zmgGhl0ueXqCDMj/AJALINEW.jpg?width=650)
FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO
10 years ago
Habarileo18 Jul
Fuso labamiza Hiace na kuua wanne
WATU wanne wamekufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T196 AAW aina ya Toyota Hiace, kugongwa kwa nyuma na gari lenye namba za usajili T 430 AQQ aina ya Mitsubishi Fuso.
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Airbus laua wanne, lajeruhi 35 Kilosa
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Basi laua trafiki wanne, viongozi wa kijiji, ndugu 10
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s72-c/fuso.png)
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.
This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond
Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...