Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa mlipuaji wa kujitolea muhanga amewaua watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
84 wafariki kutokana na Ebola Guinea
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
330 wafariki kutokana na Ebola
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
31 wafariki kutokana na Ebola DRC
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
208 wafariki kutokana na Ebola Guinea
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mahujai-2.jpg?width=650)
MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s72-c/44.jpg)
WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s640/44.jpg)
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.Katika hotuba yake...
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Bomu lalipua wanne tena Arusha
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi, Kamishina Issaya Mngulu.
Na Mwandishi wetu
Watu wanane wamejeruhiwa katika mlipuko wa Bomu uliotokea asubui ya leo maeneo ya Uzunguni jijini Arusha.
Akizungumza na Waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu alisema, tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Waliofariki ajali ya bomu wafikia wanne
MAJERUHI Regina Mzakule (66) amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa katika tukio la bomu la kutupa kwa mkono ndani ya gari la abiria wilayani Buhigwe, Kigoma kufikia wanne. Bomu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s72-c/9.jpg)
WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G0Humwl8ILA/VTz7-fccgeI/AAAAAAABMnw/51Irpc8KmUs/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjaqjaCeOrE/VTz7-u87UlI/AAAAAAABMn4/k7Bx94Kr6Zw/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z2fxpwZuWF4/VTz7-nx_suI/AAAAAAABMn0/tJlHg4hTdIo/s1600/12.jpg)